Dawa zipo kwa wale walio experience kuibiwa kwa mbinu hizo wanafahamu vyema.hakunaga madawa kwenye utapeli otherwise wangekua mabilionea wakutupwa kama kuna dawa zinafanya hizo kazi.ni mathematics tu
SIJAWAHI ibiwa Tena kizembe Hadi leoKweli maana tunajifunza kutokana na makosa kwa sasa vitu kama hivyo sizani kama vitatikea tena kwako.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hii ya kutumia dawa ipo sana yaani unaweza kumpeleka mpaka Nyumbani kwako ili akakuibie vizuri.
Ndiyo kaka saiv akili ishakuwa siwez ibiwa kwa mtindo huoKweli huu wizi ulishamili sana na wanatumia wenzao kuwaaminisha.
Amini mkuu hakuna uchawi ni akili tuSiku ikikutokea ndio utaamini kuna uchawi.