Ushawahi Kutapeliwa?

Ushawahi Kutapeliwa?

hakunaga madawa kwenye utapeli otherwise wangekua mabilionea wakutupwa kama kuna dawa zinafanya hizo kazi.ni mathematics tu
Dawa zipo kwa wale walio experience kuibiwa kwa mbinu hizo wanafahamu vyema.
Pengine wewe upo upande wa watu wasio amini uchawi.
 
Hakuna uchawi hapo[emoji204][emoji204] watu wanacheza na saikolojia yako tu
 
Back
Top Bottom