Yaani, hamna kitu kilichokuwa kinatisha watu kama kukaa mbele ya darasa na huelewi yale anayofundisha mwalimu halafu anakuchagua kujibu swali na hauliwezi na ukigeuka kuna kiboko cha mpera😂😂
Utatamani kugeuza sakafu shimo utumbukie na hapo amekukazia kweli ila kengele inakuokoa ya mapumziko lakini bado hataki utoke mpaka ujibu na una njaa balaa weeeee, ni aidha ufe na fimbo au ujikomaze na swali ambalo linakupa mawenge.
Utatamani kugeuza sakafu shimo utumbukie na hapo amekukazia kweli ila kengele inakuokoa ya mapumziko lakini bado hataki utoke mpaka ujibu na una njaa balaa weeeee, ni aidha ufe na fimbo au ujikomaze na swali ambalo linakupa mawenge.