Ushawahi panda gari za kusafirisha magazeti ?

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Aiseee zile gari acha kabisa

Yani kabla hujakaa tayari upo Kibaha mana Dar - Moro ni lisaa tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kupanda zile gari inahitaji uwe na roho ya paka πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Sishauri kabisa wanawake kupanda zile gari mana sisi wanaume tu tunapanda kwa dharura

Embu tupe uzoefu wako mara ya kwanza kupanda zile gari ulijiskiaje
 
Hizo gari nazitamani ajabu, nimechoka kuhadithiwa, I like speed like nobody's business..!

Hapa natamani nipande zile racing cars nahisi huwa wana enjoy wazee wa F1..!πŸ˜”
 
Kwan huwa wanatumia gari za aina gan?
Ist, kluger, hiace, au? Maana licha ya mwendo mkali Ila sijawah kusikia ajali zinazohusu izo gari za magazeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…