Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
My dear,Nimeamini kuwa kifo huwa tunakitafuta na kamwe kifo hakijawahi kumtafuta mtu!
Siku yako ikifika hakuna kitakachozuia, unaweza hata usitoke nje lakini ukafia kitandani kwako..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My dear,Nimeamini kuwa kifo huwa tunakitafuta na kamwe kifo hakijawahi kumtafuta mtu!
Zipo za aina nyingi, hiace, pickup nkKwan huwa wanatumia gari za aina gan?
Ist, kluger, hiace, au? Maana licha ya mwendo mkali Ila sijawah kusikia ajali zinazohusu izo gari za magazeti.
Wenye uzoefu mkubwa wa hayo.magari, muda huu wapo.makaburini wamechill.Aiseee zile gari acha kabisa
Yani kabla hujakaa tayari upo Kibaha mana Dar - Moro ni lisaa tu 😂😂😂😂
Kupanda zile gari inahitaji uwe na roho ya paka 😆😆😆
Sishauri kabisa wanawake kupanda zile gari mana sisi wanaume tu tunapanda kwa dharura
Embu tupe uzoefu wako mara ya kwanza kupanda zile gari ulijiskiaje
Nadhani ndo maana tunakwama, Mungu katutia akili tujishughulikie, sisi tunajitoa akili kusubiri afanye miujiza.My dear,
Siku yako ikifika hakuna kitakachozuia, unaweza hata usitoke nje lakini ukafia kitandani kwako..!!
Hili mbona liko wazi na nimesema hapo, hata uishije my dear you'll never walk out of this world alive...!!Nadhani ndo maana tunakwama, Mungu katutia akili tujishughulikie, sisi tunajitoa akili kusubiri afanye miujiza.
Ajali zinaweza epukika mpaka kuleta maana halisi ya ajali.
Barabara za ovyo, mwendo wa ovyo, unachokimbiza ni cha ovyo...Dar-Moro tu, taa za kuangaza barabara ziko maeneo gani labda?
Ukila buyu ukalamba mchanga, waseme ni siku imefika?
Kuna nchi life span ni 80yrs, sisi sijui tumefikia ngapi sasa ila mara mwisho naona ilikuwa 49, sababu za kutofautiana huko ndo hizo sisi tunazoita SIKU IKIFIKA.
Ajali ni chache. Iringa ilichinja 9,Kwan huwa wanatumia gari za aina gan?
Ist, kluger, hiace, au? Maana licha ya mwendo mkali Ila sijawah kusikia ajali zinazohusu izo gari za magazeti.
Balaa lingine ni zile gari zinabeba mirungi hapo Kenya 🇰🇪. Zile pickup na probox zinatembea balaa, zigo isije sinyaa maana inapakiwa alfajiri kutoka Meru saa 3 asubuhi nchi nzima iwe imefikishiwa. Zipo makala za NTV Kenya juu ya miraa drivers.Aiseee zile gari acha kabisa
Yani kabla hujakaa tayari upo Kibaha mana Dar - Moro ni lisaa tu 😂😂😂😂
Kupanda zile gari inahitaji uwe na roho ya paka 😆😆😆
Sishauri kabisa wanawake kupanda zile gari mana sisi wanaume tu tunapanda kwa dharura
Embu tupe uzoefu wako mara ya kwanza kupanda zile gari ulijiskiaje
Ni miezi sasa ilitokea ajali hakuna aliyepona nafikiri ni watu 11 walipoteaKwan huwa wanatumia gari za aina gan?
Ist, kluger, hiace, au? Maana licha ya mwendo mkali Ila sijawah kusikia ajali zinazohusu izo gari za magazeti.
Nadhani ndo maana tunakwama, Mungu katutia akili tujishughulikie, sisi tunajitoa akili kusubiri afanye miujiza.
Ajali zinaweza epukika mpaka kuleta maana halisi ya ajali.
Barabara za ovyo, mwendo wa ovyo, unachokimbiza ni cha ovyo...Dar-Moro tu, taa za kuangaza barabara ziko maeneo gani labda?
Ukila buyu ukalamba mchanga, waseme ni siku imefika?
Kuna nchi life span ni 80yrs, sisi sijui tumefikia ngapi sasa ila mara mwisho naona ilikuwa 49, sababu za kutofautiana huko ndo hizo sisi tunazoita SIKU IKIFIKA.
🤣🤣 pumbavu zakoKwanini upande gari za magazeti.
Kwani wewe gazeti??
Sasa zina tofauti gani na bus kipindi ambapo hakukua na tochi na usimamizi mkali barabarani maana ulikua ukipanda ngorika au buffalo kipindi hicho cha ligi unatoka dar 12 kamili saa sita kasoro unakula mtori arushaNilipanda la mwananchi nilikua nawai interview arusha, dar tuliondoka saa 6 usiku arusha saa 12