ushawahi............vichochoro ni?

ushawahi............vichochoro ni?

Mi mpaka leo nshakua addicted, hela ya kwenda lodge ya gharama nnayo lakini huniambii kitu kuhusu porini/vichakani au sehem zilizojificha naenjoy Sana aisee
 
DUh, umenikumbusha mbali, wakati wa utoto ndo balee inaanza 2liwahi do kwenye pagare(nyumba isiyoisha), tukacheza kombolele tukaishia ndani ya tanuru la matofali ya kuchoma!

Nikiwa na akili zangu timamu cku moja tukataka ku do kwenye benchi mikadi beach mida ya saa 5a.m hivi(mpaka sasa sielewi ilikuwa ni nini)
Funga kazi c tukakamatwa maeneo ya ikulu tupo kwenye pozi hatukuwa tuna do ili pozi liliwashtua wale maafisa usalama, wacha watupe misukosuko,bahati nzuri nilikuwa mjanja tukamalizana. Huwa namwuliza mke wange zilezilikuwa akili zetu au nini?
Duuh
 
Sehemu ambayo sijafanyia labda kwenye nyumba za ibada tu. Kuna sehemu nyingine nimewahi kufanyia hadi nikumbuka naona kama nilikuwa nimerukwa na akili vile.
 
Back
Top Bottom