Ushawai date mtu asiyejua kukiss?

Ushawai date mtu asiyejua kukiss?

Ndiyo, wale wanaoingiza ulimi wote au anakuvuta mdomo mpaka anafikia pua 🤦🏽‍♀️ inakata sana. Now imagine that na changamoto ya baadhi ya wanaume kutozingatia usafi wa kinywa 🥴
 
Back
Top Bottom