Usher Raymond kutalii nchini Tanzania pamoja na familia yake. Utalii unakuwa kwa speed ya 4G nchini

Usher Raymond kutalii nchini Tanzania pamoja na familia yake. Utalii unakuwa kwa speed ya 4G nchini

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Utalii nchini TANZANIA unakuwa kwa speed ya juu. Nakutapo kamilika ujenzi wa viwanja vya ndege pamoja naujio wa CS300 Series mbili, Boeing 787-8 dreamliner pamoja na Bombardier tutegemee maajabu zaidi. Jewajua muhasibu mkuu wa Air Tanzania ndoalikuwa muhasibu wa Rwanda Air.? Ahsante Magufuli
Screenshot_2017-07-10-13-42-10.png
 
Utalii nchini TANZANIA unakuwa kwa speed ya juu. Nakutapo kamilika ujenzi wa viwanja vya ndege pamoja naujuio wa CS300 Series mbili, Boeing 787-8 dreamliner pamoja na Bombardier tutegemee maajabu zaidi. Jewajua muhasibu mkuu wa Air Tanzania ndoalikuwa muhasibu wa Rwanda Air.? Ahsante MagufuliView attachment 539058

Mbona kafika mpaka jamii forum
 
Kwa sababu ni mtu mkubwa na yuko na followers wengi. Kama ukiona inafaa ingia kwenye page yake mwambie welcome to TZ. Itafanya mashabiki wake pia waje kwa wingi zaidi. Mimi nimesha anza.
Mbona kafika mpaka jamii forum
 
Barabara yenyewe Haifai.Imeoza.Nashangaa Wizara Inakaa Kimya.Hakuna kutengeneza Barabara.Haibu kubwa hii sijui Mtapeleka wapi
 
Barabara yenyewe Haifai.Imeoza.Nashangaa Wizara Inakaa Kimya.Hakuna kutengeneza Barabara.Haibu kubwa hii sijui Mtapeleka wapi
Mkuu usiwe mshamba uwezikujenga Barabara ya rami kwenye mbuga. Wanyama hawatembei kwenye rami wanafuatwa mbugani. Pia Barabara ya rami inasababisha ajari ndo maana Barabara ya mikumi wamewahi itaka kuifunga. Do research first my friend. Wanyama awatembei kwenye rami bali ndani vichakani ndomaa magari yote ya utalii yana 4 wheel drive nayapo juu. Pia spear tyre mbili hadi tatu. Tank ya mafuta mbili.
 
Hakuna haja ya barabara za lam kwenye mbuga za wanyama

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu usiwe mshamba uwezikujenga Barabara ya rami kwenye mbuga. Wanyama hawatembei kwenye rami wanafuatwa mbugani. Pia Barabara ya rami inasababisha ajari ndo maana Barabara ya mikumi wamewahi itaka kuifunga. Do research first my friend. Wanyama awatembei kwenye rami bali ndani vichakani ndomaa magari yote ya utalii yana 4 wheel drive nayapo juu. Pia spear tyre mbili hadi tatu. Tank ya mafuta mbili.

Upo na mantiki kwenye bango lako hili, tatizo huwa hautendei Kiswahili haki, naomba uwe unahudhuria darasa la jioni ili uboreshe uandishi wako wa lugha hii ya Kiswahili maana wadau wanahangaika sana wakati wanasoma unachokiandika.
 
Hivi Ninyi Watu Mnajua Ninacho kiongea Au vipi Ninyi Mijitu.Fikiria kwanza ndiyo Uweze ku comment.Mnapayuka payuka tuu hata Kufika kwenyewe huku kwenye hizi mbuga hamjawahi hata siku moja.N
Nimesema kuwa Barabara Ni Mbovu sana hata hizi crueser tunazo zitumia kupeleka watalii huku zinaharibika kwa sababu Miundombinu ni Mibovu.Serekali Inafumbia Macho hii Barabara na kitakachokuja kutokea hutakuja Kuniamini Nini Niachosema.
Wewe unasema kiswahili chenyewe sikijui.Kwani wewe Umeelewaje Nilivyo comment.
Mimi Ni Mdau mkubwa sana wa hii Barabara.Siyo Mnakuja hapa alafu ujua ni Nini Ninacho kuzungumza.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Ninyi Watu Mnajua Ninacho kiongea Au vipi Ninyi Mijitu.Fikiria kwanza ndiyo Uweze ku comment.Mnapayuka payuka tuu hata Kufika kwenyewe huku kwenye hizi mbuga hamjawahi hata siku moja.N
Nimesema kuwa Barabara Ni Mbovu sana hata hizi crueser tunazo zitumia kupeleka watalii huku zinaharibika kwa sababu Miundombinu ni Mibovu.Serekali Inafumbia Macho hii Barabara na kitakachokuja kutokea hutakuja Kuniamini Nini Niachosema.
Wewe unasema kiswahili chenyewe sikijui.Kwani wewe Umeelewaje Nilivyo comment.
Mimi Ni Mdau mkubwa sana wa hii Barabara.Siyo Mnakuja hapa alafu ujua ni Nini Ninacho kuzungumza.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe bwana mdau umejenga barabara gani? Mr Mushi vipi mbona povu kubwa hivyo. Kiswahili hujui halafu unajiita mdau. Mdau au mdafu!!! Kwikwikwikwikwi.
 
Wewe Ndiyo Mdafu.Huku kwenyewe hata kufika shida.Mdau ndiyo Maana nime comment.Inanihusu.Sasa wewe kwikiwikiwkiiw na povu linakutoka Mada yewenye hata haikuhsu.Kama vitu hamjui wacha kucomment.Kaa Pembeni wewee

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ndiyo Mdafu.Huku kwenyewe hata kufika shida.Mdau ndiyo Maana nime comment.Inanihusu.Sasa wewe kwikiwikiwkiiw na povu linakutoka Mada yewenye hata haikuhsu.Kama vitu hamjui wacha kucomment.Kaa Pembeni wewee

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Sasa unayejua umefanya nini!!? bwana mushi wewe ni mdau wa nini? Mdau wa utalii au mdau wa barabara? Hueleweki jieleze tukuelewe.
 
Haya Bwana wee kalale sasa Bwana Raymond.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom