Usher Raymond kutalii nchini Tanzania pamoja na familia yake. Utalii unakuwa kwa speed ya 4G nchini

Usher Raymond kutalii nchini Tanzania pamoja na familia yake. Utalii unakuwa kwa speed ya 4G nchini

Wewe Ndiyo Mdafu.Huku kwenyewe hata kufika shida.

Mr Mushi ni wapi huko ambako kufika ni shida? Halafu hebu ainisha hiyo barabara ni mbovu kiaje,

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Utalii nchini TANZANIA unakuwa kwa speed ya juu. Nakutapo kamilika ujenzi wa viwanja vya ndege pamoja naujio wa CS300 Series mbili, Boeing 787-8 dreamliner pamoja na Bombardier tutegemee maajabu zaidi. Jewajua muhasibu mkuu wa Air Tanzania ndoalikuwa muhasibu wa Rwanda Air.? Ahsante MagufuliView attachment 539058
Utalii nchini TANZANIA unakuwa kwa speed ya juu. Nakutapo kamilika ujenzi wa viwanja vya ndege pamoja naujio wa CS300 Series mbili, Boeing 787-8 dreamliner pamoja na Bombardier tutegemee maajabu zaidi. Jewajua muhasibu mkuu wa Air Tanzania ndoalikuwa muhasibu wa Rwanda Air.? Ahsante MagufuliView attachment 539058
Mkuu kulikuwa na haja gani huu uzi kuuweka jukwaa hili? mbona hakuna mahusiano yoyote ya huu uzi na jukwaa ulipo? tujitahidi kutumia vitu kwa usahihi
 
Barabara yenyewe Haifai.Imeoza.Nashangaa Wizara Inakaa Kimya.Hakuna kutengeneza Barabara.Haibu kubwa hii sijui Mtapeleka wapi
Ndugu hizo barabara huwa zinaachwa hivyo maksudi; ili mtu ujiskie kweli uko in the wild (adventure)
 
Ni mbuga gani umewahi tembelea mkubwa. Mimi mbuga zote kubwa nimetembelea zinamfumo wa barabara nzuri tu. Wewe unaongea usichojua
Hivi Ninyi Watu Mnajua Ninacho kiongea Au vipi Ninyi Mijitu.Fikiria kwanza ndiyo Uweze ku comment.Mnapayuka payuka tuu hata Kufika kwenyewe huku kwenye hizi mbuga hamjawahi hata siku moja.N
Nimesema kuwa Barabara Ni Mbovu sana hata hizi crueser tunazo zitumia kupeleka watalii huku zinaharibika kwa sababu Miundombinu ni Mibovu.Serekali Inafumbia Macho hii Barabara na kitakachokuja kutokea hutakuja Kuniamini Nini Niachosema.
Wewe unasema kiswahili chenyewe sikijui.Kwani wewe Umeelewaje Nilivyo comment.
Mimi Ni Mdau mkubwa sana wa hii Barabara.Siyo Mnakuja hapa alafu ujua ni Nini Ninacho kuzungumza.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa wa kungoja Angelina Jolie aletwe kwa msaada wa UNHCR roho inawakereketa hapa..

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ndiyo Mdafu.Huku kwenyewe hata kufika shida.Mdau ndiyo Maana nime comment.Inanihusu.Sasa wewe kwikiwikiwkiiw na povu linakutoka Mada yewenye hata haikuhsu.Kama vitu hamjui wacha kucomment.Kaa Pembeni wewee

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Hauwezi kujenga lami kwenye National Park labda wapitishe tu grader kurepea lakini kitendo cha kumimina lami wataalam wa hifadhi ya nature hawaruhusu na ndio maana ya adventure.

Ni sawa na kusema Mount kilimanjaro kuwekwe madaraja na miundombinu rahisi sababu kupanda mlima kuna obstacles nyingi kitu ambacho ni kituko sasa sababu hautakua mlima tena.
 
Nyang'aus you should eat this though it is bitter no way round.
 
Back
Top Bottom