Mkuu, hii biashara utaiuza sana ikiwa utapata eneo la biashara pale mitaa ya MaKay, pembeni kidogo CRDB. Pale naamini utauza mzigo wa kutosha ikiwa utatengeneza bidhaa yenye kiwango na yauhakika.Kwa biashara ya majeneza wap panafaa mkuu@ushimen
Moro kubwa mkuuMoro
Morogoro mjini wakuuMoro kubwa mkuu
unataka wilaya ipi ?
Hahah,we ushimen ms.nge sanaa.nmecheka sana hapo mwisho...whatever-vant..hahaha.Pole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia.
Kwakuwa Mungu wetu ni mwema, basi yote kwake ni mema pia.
1. Ungekua Dom ningekupa wazo/location ya biashara ya chipsi dume, na ninahakika hapa ungeweza kupata faida isiyo punguwa 10 elfu per day, kwa mtaji usio zidi elfu 300.
2. Pia ningeweza kukupa wazo/location ya biashara ya majeneza ambapo ungeweza pata faida isiyo punguwa 100 elfu kwa kila wiki kwa mtaji usio zidi elfu 1,200.
3. Na ningekupa wazo/location yenye ungefanya biashara ya matunda kwa mtaji usio zidi 400 kwa kupata faida isiyo punguwa 12 elfu daily.
4. Alafu ninge kupa wazo/locations kadhaa ya kufanya biashara ya shoe shine/kusafisha viatu kwa mtaji usio zidi 100 elfu na ukapata faida isiyo punguwa 5 elfu kila kukicha.
Ebu ngoja nimalizie kwanza hii whatever-Vant, then kesho nitakuja na mawazo mengine kwenye muendelezo.
Toa na mikoa mingn mkuu
Unasemaje bwana Morogoro ?Morogoro mjini wakuu
...............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah,we ushimen ms.nge sanaa.nmecheka sana hapo mwisho...whatever-vant..hahaha.
Umenikumbusha jana nilikua na dem m1 tumetoka mahala kunywa,tunarud nyumban usiku ananambia nichkue K vant dukan,hawez lala bila hyo kitu..hahah
Mkuu nipe fursa za ujasiriamali zilizopo hapo morogoro mjiniUnasemaje bwana Morogoro ?
Natafuta number yako mkuu nikitaka kukupm nashindwa
Naipataje
Hahaaha...Moro kubwa mkuu
unataka wilaya ipi ?
😂 😂 😂 😂 😂 kuwa makini sana,michango yako kule jukwaa la siasa imesababisha wazee wa kitengo waingie kazini...mda si mrefu mtu anafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji pesakunani kaka?
😂 😂 😂 😂 😂 kuwa makini sana,michango yako kule jukwaa la siasa imesababisha wazee wa kitengo waingie kazini...mda si mrefu mtu anafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji pesa
Una million 8 yakulala hotel za kule?Ivi kule kwenye ule mradi rufiji naweza pata fursa nzuri pale
Malinyi wanalima sana mpunga ila jiandae kupambana na wasukuma wenye ng'ombe maeneo ya Iragua, Itete na Mtimbira wanaopenda kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya watu.Hahaaha...
! Malinyi
kunani kaka?
#3, hiyo inaweza zidi zaidi ya hapo,,Pole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia.
Kwakuwa Mungu wetu ni mwema, basi yote kwake ni mema pia.
1. Ungekua Dom ningekupa wazo/location ya biashara ya chipsi dume, na ninahakika hapa ungeweza kupata faida isiyo punguwa 10 elfu per day, kwa mtaji usio zidi elfu 300.
2. Pia ningeweza kukupa wazo/location ya biashara ya majeneza ambapo ungeweza pata faida isiyo punguwa 100 elfu kwa kila wiki kwa mtaji usio zidi elfu 1,200.
3. Na ningekupa wazo/location yenye ungefanya biashara ya matunda kwa mtaji usio zidi 400 kwa kupata faida isiyo punguwa 12 elfu daily.
4. Alafu ninge kupa wazo/locations kadhaa ya kufanya biashara ya shoe shine/kusafisha viatu kwa mtaji usio zidi 100 elfu na ukapata faida isiyo punguwa 5 elfu kila kukicha.
Ebu ngoja nimalizie kwanza hii whatever-Vant, then kesho nitakuja na mawazo mengine kwenye muendelezo.
🤣🤣🤣mimi sio kaka cha kwanza
Pili niliona uliongelea fursa ya mchele sehemu
Sasa dm sikupati ningekupa hata number yangu maana naona una wasiwasi