Ushimen: Ebu ngoja leo niwape mawazo machache ya kujikwamua

Habari mkuu ushimeni,naomba pia maeneo ya kuuza mayai ya kisasa,au biashara ya mayai ya kisasa kwa dodoma
Hii biashara sina uzowefu nayo, ingawa mayai naona kwawingi yakiuzwa sokoni na kuna baadhi ya maduka watu wamefunguwa kwaajili ya kuuza mayai kwa jumla na rejareja.
 
Fafanua namba mbili mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…