Hata mimi ile naipenda. Halafu hadi nilishahisi ni yeye.[emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja.
Pia kuna picha yake hivi jamaa kasimama shambani kavaa nguo fulani, japo siipendi ila nimeshaizoea asiiache.
Mkuu, hiyo picha nimekwisha acha rasmi kuitumia kwasababu kuna member kadhaa humu ndani wamekua hawapendezwi nayo asilaniNaunga mkono hoja.
Pia kuna picha yake hivi jamaa kasimama shambani kavaa nguo fulani, japo siipendi ila nimeshaizoea asiiache.
Mkuu....Umejibu vizuri kabisa
3.Kwa mtu asiye ijua dodoma kabisa...unamuelezeaje kuhusu fursa zilizopo?can you mention them????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hiyo picha nimekwisha acha rasmi kuitumia kwasababu kuna member kadhaa humu ndani wamekua hawapendezwi nayo asilani
Level ya chini kabisa,mtaji wa Mtu mwenye hali ya chini kabisa ,kwa mfano 500 k kma ulivyoelezea kwenye reply yako ile ya kwanza..zozote zilizopoMkuu....
Fursa ni neno pana kidogo, na ukitaka nikuambie kuhusu fursa pengine nianze na kukuuliza swali kwamba.... unatamani kujua fursa za level ipi, na hasa nikimaanisha mtaji wa kuanzia piesa ngapi?
Kama unaijua Dodoma.....Level ya chini kabisa,mtaji wa Mtu mwenye hali ya chini kabisa ,kwa mfano 500 k kma ulivyoelezea kwenye reply yako ile ya kwanza..zozote zilizopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiiii mdomo wangu umebaki waziii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwasasa nina small Mechanical Workshop jijini Dodoma, na pia ni Technical Supervisor kwenye one of the Rope Access Technology Company.
Pia nilijikuta nimekua dalali wa viwanja na mashamba mkoani Dodoma
Sawa mh mjumbe, ebu agiza jibapa hapo bill leta kwanguAsante sana mkuu...
Nilizaliwa tarehe 21 March 1981.
Bilashaka nimekujibu vyema
Labda nijibu kwa haraka kwamba nina pea tatu ya watoto tano, na sasa tunatarajia kupata mtoto wa sita ili tuwe tumetimiza nusu dazani...[emoji12] [emoji12] [emoji12]My kaka japo nimechelewa ila i hope ilikuwa poa.
Ila my kaka kweli we noma[emoji134][emoji134][emoji134] 5okloku tofauti tofauti na hapo bado mbili umesema huna uhakika nazo[emoji134][emoji134]. Kweli wewe ndio umetimiza msemo wa ujana maji ya moto.
Msalamie wifi.
Mh mjumbe, nilitarajia haraka ningekuona siku nilipo ruhusu maswali yeyote yanielekee, lakini tayari umesha chelewa...tehteehh [emoji12] [emoji12]Akiiii mdomo wangu umebaki waziii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kidogo uniuzie geto la mtu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mh mjumbe ujenzi wa Nchi yetu ya viwanda umepamba moto huku, napata masaa machache sana kuingia humu ndio maana napitwa na mambo mengi...Mh mjumbe, nilitarajia haraka ningekuona siku nilipo ruhusu maswali yeyote yanielekee, lakini tayari umesha chelewa...tehteehh [emoji12] [emoji12]
Bugia tu hadi na yale meno 2 yaliyobaki yafyekelewe mbali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asante ndugu mjumbe, hii sio yakukosa [emoji481] [emoji481]