"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

Heri ya siku ya kuzaliwa Ushimen, Mungu akupe kila aina ya baraka na mafanikio
 
Dah...siku hazigandi...furahia siku yako bosi...hongera sana [emoji506]🥃

Sent using Beretta ARX 160
 
Hahaahaaaa.......
Ahsante kwa kunikumbusha mh mjumbe, hii ya mapengo nilipata tuhuma nyingi kwamba inawafanya wanakosa usingizi kwa kutisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndugu mjumbe nakumbuka, kabla ya siku hiyo ulikuwa unapenda kutuma picha ya jamaa ameshika jembe.

Yule jamaa nilikuwa simpendi, nashukuru yeye uliacha kabisa kumpost hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…