Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vitajuana na kuchambuana vyenyewe huko huko tumboni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana mkuu....
Wavulana wa kisasa hawawezi hizi show za kibabe aiseeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Fresh sana bro ila uliponiangusha ni hapo ulipokula sembe badala ya dona.
 
Atakwambia ugali hauna chumvi naongeza kidogo😳😳😳😳 ugali na chumvi wapi na wapi 😂😂😂😂😂

Hatari sana mkuu....
Wavulana wa kisasa hawawezi hizi show za kibabe aiseeee
 
Mie bila mlima wa ugali sishibi Mkuu. Nawashangaa sana wanaokula chips yai kama lunch/dinner.
Na hii ni moja ya sababu ya kushuka kwa vijana kwenye end of the day performance...
 
Vinakuwa vingi sana asee hata kuchambua tabu [emoji16][emoji28]

Hapo unakuta zimeletwa fungu tatu na muuzaji na kimbele mbele anatoa na nyongeza!
Mkuu, ebu naomba nimpongeze kwa dhati kabisa huyo muuza matembele
 
Mkuu mambo yakuchunguza makongoro ya watu si sawa wewe angalia msosi tu

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante kwa msaada wako chief....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom