Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Kuna wakati huwa nashangaa sana wanaume wanapo lala na njaa kisa eti mama nanii hayupo...!!
Kwa hili nampongeza sana mama yangu kwa malezi aliyo nilelea, na hasa wakati ule nilikuwa nadhani ananitesa kwa kunipangia zam ya kupika ilhali nikiwa mtoto wa kiume.
Mama yule alikua akinilazimisha kupika kwa kutumia kuni, tena nje huku wadada nilikuwa nikiwazoza wakipita na wakinicheka huku wakiwa wamevalia viatu vya losso na suruali za dontachi.
View attachment 1152652View attachment 1152653View attachment 1152655View attachment 1152656View attachment 1152657View attachment 1152658
[emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]

Mh mjumbe kidogo niteguke mguu kisa kichwa uzi....
 
Mie siku nikiwa napika tembele sinaga muda wa kuchambua kwa kweli
Nakata kabisa hio sijui nini,napika majani yake tu
[emoji3][emoji3] Ndio mboga ninayoipenda sana. Ila yakaangwe tu bila nyanya.
Kuchambua huwa namlipa muuzaji marambili ili anichambulie.
 
[emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]

Mh mjumbe kidogo niteguke mguu kisa kichwa uzi....
Mh mjumbe, ebu usiwe na mwazo mabaya tafadhali....teh[emoji28][emoji28]
 
Sasa pale inapobaki na mafuta yake yenyewe unafanya kama unaikaanga kwa kuigeuza geuza ili isiungue kwa kulia ugali bomba sana Mkuu.

Hiyo ni beef iliyo chemchwa na ikaivya hadi ikaanza kama kujikaanga na mafuta yake yenyewe, kisha nikaiweka kwenye jokofu.
 
[emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]

Mh mjumbe kidogo niteguke mguu kisa kichwa uzi....
Mh mjumbe, ebu usimtumikie shetani kwa bidii hivyo....[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa pale inapobaki na mafuta yake yenyewe unafanya kama unaikaanga kwa kuigeuza geuza ili isiungue kwa kulia ugali bomba sana Mkuu.
Comrade, naona ulicho kiandika ni kama mthamiati kwa wanaume wa Dar....[emoji28][emoji28]
Kuna mmoja aliuliza kama eti kuna kitu ameona kama kinafanana na kokoto za ujenzi...teh
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂😂wamejibweteka sana hao. Nafurahia kwamba naweza kuingia jikoni nikatengeneza msosi wangu wa uhakika na kuufurahia.

Comrade, naona ulicho kiandika ni kama mthamiati kwa wanaume wa Dar....[emoji28][emoji28]
Kuna mmoja aliuliza kama eti kuna kitu ameona kama kinafanana na kokoto za ujenzi...teh
 
Nilivyosoma "nilivyopiga show ya kibabe" nikashtuka nikajua mambo ya Zero IQ.

Hongera mkuu umejitahidi sana ila nina mashaka kama hilo tembere umeweza kulichambua. Itakuwa umepika na kamba zake[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wanaume ni wasafi sana kwenye kupika japo sio wote.
Kweli aiseeeee🙈🙈🙈🙈🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom