Si umtafute kwa simu yake au piyemu?amani ipo hofu juu yko tuu
We ni Ke au Me?habari za jioni.
samahani kama nawasumbua.
nilikuwa namuulizia jamaa anaitwa USHIMEN kama yupo humu.
shida yangu ni kumsalimia tuu.
sisi watanzania tumefunzwa utamaduni wa kujuliana hali hata kama hamjuani.
kama unamfahamu na hayupo humu mpelekeeni salamu zake.
Ajabu aseme ni me😜We ni Ke au Me?
Dume hiloAjabu aseme ni me[emoji12]
Atakuwa ni Ke tu, kama ni Me, mbona aibu sasa? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Ajabu aseme ni me[emoji12]
Aisee [emoji848][emoji848]Dume hilo
Kama ni ID yake nyingine, hapo sawa. Ila kama ni member tu amepost hivi, tena wakiume [emoji848]Watu bwana sijui wapoje.. eti kuna mmoja hapa anasema hii ni id nyingine ya Ushimen. Nimemwambia aende zake huko wivu tu unamsumbua
Kama hujaona shida iko wapi katika bandiko lako, basi hiyo pia ni shida.kwani iko wapi shida kumuulizia mtu hadi au me au ke??!!
Nipo sana mkuu, ingawa kidogo majukumu yamechangamka zaidi kwa sasa.habari za jioni.
samahani kama nawasumbua.
nilikuwa namuulizia jamaa anaitwa Ushimen kama yupo humu.
shida yangu ni kumsalimia tuu.
sisi watanzania tumefunzwa utamaduni wa kujuliana hali hata kama hamjuani.
kama unamfahamu na hayupo humu mpelekeeni salamu zake.