cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
Hivi anayependwa huwa analazimishwa kupendwa?mwisho wenu utakula kuwa mbaya sanaCCM ndio chama kinachoaminika na kupendwa na mamilioni ya watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi anayependwa huwa analazimishwa kupendwa?mwisho wenu utakula kuwa mbaya sanaCCM ndio chama kinachoaminika na kupendwa na mamilioni ya watanzania
CCM haina mwisho wake.maana itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.Hivi anayependwa huwa analazimishwa kupendwa?mwisho wenu utakula kuwa mbaya sana
Hata Marekani ina mwisho wake sembuse hawa akili ndogo kama CCMCCM haina mwisho wake.maana itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.
Hilo haliwezekaniSI UNGEWATAJA TU KWA MAJINA
Nafikiriie habari za majizi?!Kwanini wewe huwa unajiandikia tu lolote linalokujia kichwani bila hata kufikiria?
Uchaguzi utakua mgumu kwa ccm kama huyo mama yako mtampitisha apeperushe bendera ya ccm kwenye kugombea urais. Ukweli mama hakubaliki licha ya kubadili gea siku za karibuni lakini kucheza na kina makamba alipoteza imani kwa umma. Wavuja jasho hawamwamini. Kutokana na hivyo hataweza kuwabeba wabunge wa ccm na hakika wengi watapoteza nafasi zao kwa wapinzani. Kama mashambwa unajua kuchambua kisayansi utakubali wabunge wa ccm walibebwa na Magufuli 2020 kwa vile mwenyewe alikua kipenzi cha umma wa watanzania. Ni mtu walimuamini kutunza maslahi yao. Tatizo mashambwa umejigeuza chawa wa mama kwa hivyo umekosa uwezo kufanya uchambuzi kisayansi.Ndugu zangu Watanzania,
Nimefanya uchunguzi ,utafiti na ufuatiliaji mkubwa sana juu ya nafasi ya ubunge ndani ya CCM.nimekuja kuona kuwa mwakani kutakuwa na mnyukano mkali sana na ushindani wa hali ya juu sana kuwahi kushuhudiwa katika kura za maoni za kumtafuta wa kupeperusha Bendera ya CCM kwa ajili ya kushindana na wagombea wa vyama vingine vya upinzani.
Pili nimeona dalili za wazi kuwa kutakuwa na wana CCM wengi sana tena sana watakaojitokeza katika kuchukua Fomu za ubunge .pili nimefanya utafiti na upelelezi na kugundua kuwa kuna wabunge wana hatihati kubwa sana ya kupoteza nafasi zao kwa wagombea wapya wa CCM na hivyo kutorejea tena bungeni.
Nimegundua Kuwa kwenye baadhi ya Majimbo kuna watu walipata kura chache yaani hawakuongoza katika kura za maoni katika uchaguzi wa ndani ya chama wa mwaka 2020 lakini wakapewa nafasi ya kupeperusha bendera.na wengine walipopita wakawa na maelewano madogo na huku ngazi za chini na kujikita juu. na hivyo kuna wajumbe huku chini wamejiandaa na kupania kuwadondosha na kuwapa wengine ambao wameonyesha kuwa karibu na wananchi wakati wote..
Nimegundua pia kuna wengine ni kama wameanza kuzinduka mwishoni kuelekea mwakani na hivyo kuanza kufanya matukio ya hapa na pale kwenye jamii kama vile kuandaa mashindano au ligi za mipira,kugawa zawadi za hapa na pale ,kutembelea makundi fulani fulani,kujitokeza katika ibada na kuchanga vitita vinono vinono kwa ajili ya ujenzi au ukarabati wa makanisa,kutoa misaada ya hapa na pale na kuanza kuwakumbuka viongozi wa kata,matawi na Mashina.jambo ambalo linaonyesha ni kama wanakumbuka shuka au Blanketi wakati kumekucha.
Lakini pia kuna wengine baada ya kwenda Bungeni walijisahau sana na kukaa bila kufanya ziara za kusikiliza kero za wananchi wala kurejesha mrejesho kutoka bungeni.wengine walianza kuwa na migogoro mikubwa na viongozi wa chama wilaya na mikoa na hata kuishi kwa misuguano tangia wakati wa kura za maoni .
Lakini pia kuna wale waliopitishwa licha ya kutoongoza kwenye kura za maoni halafu wakashindwa kufanya kazi kukidhi matarajio ya chama.hawa watakuwa na kibarua kizito sana kupenya kwenye kura za maoni ndani ya CCM.
Mwisho ni kuwa kila mmoja atavuna alichopanda. Lakini pia atakayepenya kwenye kura za Maoni za CCM atakuwa na uhakika na nafasi kubwa sana ya kuingia na kwenda Bungeni. kutokana na imani kubwa ya wananchi kwa CCM, kudhoofika kwa vyama vya upinzani hususan CHADEMA ambayo ilikuwa na nguvu sana na ushawishi mkubwa hususani kwa kundi la vijana na wasomi hasa wana vyuo miaka iliyopita hususani 2010-2015
.kukosekana kwa sera ,ajenda na hoja zenye kugusa maisha na hisia za watu kutoka vyama vya upinzani pamoja na kutoaminika na kuaminika kwa upinzani kulikotokana na kuonyesha kuwa wapinzani ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu wanaosumbuliwa na njaa.
Naendelea kufuatilia sana ila kuna wabunge itabidi wapumzike tu na kuachia mawazo na damu mpya kuingia Bungeni. Kuna wabunge itabidi tu wakipokea kiinua mgongo wakubali tu kukaa pembeni kulinda heshima zao.kuna wabunge itabidi wakubali tu kuwa wakati ni ukuta na kila jambo na wakati wake na wakati wao wa kuwa Bungeni Umekwisha.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha kuota ndoto kama mlevi.Mwingine hatarejea ikulu 😃
Mwingine hatarejea ikulu 😃
Rais Samia anakubalika sana na ni kiongozi mwenye ushawishi mkubwa sana kwa watanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.Uchaguzi utakua mgumu kwa ccm kama huyo mama yako mtampitisha apeperushe bendera ya ccm kwenye kugombea urais. Ukweli mama hakubaliki licha ya kubadili gea siku za karibuni lakini kucheza na kina makamba alipoteza imani kwa umma. Wavuja jasho hawamwamini. Kutokana na hivyo hataweza kuwabeba wabunge wa ccm na hakika wengi watapoteza nafasi zao kwa wapinzani. Kama mashambwa unajua kuchambua kisayansi utakubali wabunge wa ccm walibebwa na Magufuli 2020 kwa vile mwenyewe alikua kipenzi cha umma wa watanzania. Ni mtu walimuamini kutunza maslahi yao. Tatizo mashambwa umejigeuza chawa wa mama kwa hivyo umekosa uwezo kufanya uchambuzi kisayansi.
Eeh, uko sahihi KABISA , maana wabunge hata hawaonekani majimboni ,, yafaa ziingie damu mpya zilizo na maono ya maendeleo ya Kasi kuu.Kuna wabunge hawatarejea Bungeni Mwakani na badala yake nafasi zao zitachukuliwa na wabunge wapya kutoka ndani ya CCM. Hii ni baada ya kufanya uchunguzi wangu binafsi.
Kweli kabisa.Eeh, uko sahihi KABISA , maana wabunge hata hawaonekani majimboni ,, yafaa ziingie damu mpya zilizo na maono ya maendeleo ya Kasi kuu.
Sasa ngumi za nini kama kuna demokrasia!!Hakuna ubabaishaji bali kuna Demokrasia kubwa.ndio maana watu hujitokeza kwa wingi kuomba nafasi ya kuchaguliwa.
Ngumi zipi hizo umeziona.Sasa ngumi za nini kama kuna demokrasia!!
Ngumi zipi hizo umeziona.
Waliobaki wote nyumbani upinzaniRais Samia anakubalika sana na ni kiongozi mwenye ushawishi mkubwa sana kwa watanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 3133858
Wakiongozwa na silinde pamoja na tulia ,Uchaguzi mgumu ni ndani ya CCM kwa wana CCM kwa CCM.baada ya hapo itakuwa ni mteremko tu kama kumsukuma mlevi.