Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Soma vizuri maelezo ya jamaa amesema Shirima amewauzia Wakenya 51% ya hisa za shirika.
Kwenye Masuala ya corporate management .....hata Ushauri wa mwenye Hisa asilimia 1 unaweza kusikilizwa....hawafanyi siasa Bali Ni facts
Kwanza juwa matajiri wote wakubwa Duniani Kama kina warren buffet ..wengi hawapendi Kununua shares majority za kumfanyia asumbuke Na uendeshaji ....Bali unanunua Hisa Kwenye Kampuni Yenye menejimenti nzuri ...Kwenye sekta mbali mbali ....