Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wahuni hawa kama ilivyo kawaida yao ya unyama na itikadi za kitapeli zisizokuwa na maana walifanya maafa sana.
Maafa wanayofanya na itikadi walizonazo haziwezi vumilika kwa dunia ya kawaida. Ndio maana walibonyezwa kisawa kisawa kulingana na unyama wao.
Maafa hayo waliyo wafanyia wana Israel pia yalirudi kwa Wapalestina lakini siku zote atalaumiwa muyahudi lakini ukweli ni kuwa mahangaiko ya wapalestina na kutokana na itikadi za kitapeli za Iran na hamas kiujumla.
Harakati za hamas sio za ukombozi wowote ila ni za itikadi za kitapeli zinazoshabikiwa na matapeli.
Maafa wanayofanya na itikadi walizonazo haziwezi vumilika kwa dunia ya kawaida. Ndio maana walibonyezwa kisawa kisawa kulingana na unyama wao.
Maafa hayo waliyo wafanyia wana Israel pia yalirudi kwa Wapalestina lakini siku zote atalaumiwa muyahudi lakini ukweli ni kuwa mahangaiko ya wapalestina na kutokana na itikadi za kitapeli za Iran na hamas kiujumla.
Harakati za hamas sio za ukombozi wowote ila ni za itikadi za kitapeli zinazoshabikiwa na matapeli.