tiny madin
Member
- Sep 10, 2024
- 24
- 28
Fikilia nchi kama Yemen kwa sasa wanatafuta vita ya niniHawa wataki aman
Asili yao ni damu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikilia nchi kama Yemen kwa sasa wanatafuta vita ya niniHawa wataki aman
Asili yao ni damu.
How you can prove something you didn't write, na wao ndio walimletea zengwe mwenye maandiko wataacha kubadili kweli maandikoWith proven record, yes.
Mtu akikuambia ukiua mkristo utaenda ukapata mabikara 72, utarejea???
Iran juzi karusha missiles kutoka nchini kwake hadi Israel kaenda kupiga Nevatim milliary Airbase kateketeza F-35 fighter jet zote za Israel zilizokua Nevatim, USA na washirika wenzake wanaompa msaada Israel wameona pale kwa Iran wanatest moto kwa ulimi wamemwambia Netanyahu atulize boli hana uwezo wa kupambana na IranView attachment 3118460
Tulia tuli mzuri yanakuja
Iran juzi karusha missiles kutoka nchini kwake hadi Israel kaenda kupiga Nevatim milliary Airbase kateketeza F-35 fighter jet zote za Israel zilizokua Nevatim, USA na washirika wenzake wanaompa msaada Israel wameona pale kwa Iran wanatest moto kwa ulimi wamemwambia Netanyahu atulize boli hana uwezo wa kupambana na Iran
Kuweza nini? Mbona siwaelewi nyie jamaa au mnafuatlia news gani? Yaan kubeba bomu kwenda kulishusha hospitali, msikitini nyumba za raia vituo vya mafuta nani asiyeweza vita hivyo? Matokeo yake baada ya mwaka hamas sherehe yao ya juzi wamekamata mateka wanajeshi wengineUrban warfare si rahisi na kwa dunia nzima ni Israel pekee anaiwezea
Kwani October 7 Hamas waliuwa wanajeshi au raiaIsrael uwezo mdogo kitu pekee wanachoweza ni kuua raia wasio na silaha
Wanatabika Hamas lkn yanakufa kwa wingi majeshi ya IsrealTokea masaa 12 hadi miez 12 wanapigana tu, Hamas wako vizuri
miezi 12 wanapambana kuimaliza Hamas na hakuna anayejua km imewezekana au itawezekana hakikaHamas kibokoWahuni hawa kama ilivyo kawaida yao ya unyama na itikadi za kitapeli zisizokuwa na maana walifanya maafa sana.
View attachment 3118414
Maafa wanayofanya na itikadi walizonazo haziwezi vumilika kwa dunia ya kawaida. Ndio maana walibonyezwa kisawa kisawa kulingana na unyama wao.
View attachment 3118415
Maafa hayo waliyo wafanyia wana Israel pia yalirudi kwa Wapalestina lakini siku zote atalaumiwa muyahudi lakini ukweli ni kuwa mahangaiko ya wapalestina na kutokana na itikadi za kitapeli za Iran na hamas kiujumla.
View attachment 3118416
Harakati za hamas sio za ukombozi wowote ila ni za itikadi za kitapeli zinazoshabikiwa na matapeli.
Mwaka umeisha huu tumeanza wa piliWahuni hawa kama ilivyo kawaida yao ya unyama na itikadi za kitapeli zisizokuwa na maana walifanya maafa sana.
View attachment 3118414
Maafa wanayofanya na itikadi walizonazo haziwezi vumilika kwa dunia ya kawaida. Ndio maana walibonyezwa kisawa kisawa kulingana na unyama wao.
View attachment 3118415
Maafa hayo waliyo wafanyia wana Israel pia yalirudi kwa Wapalestina lakini siku zote atalaumiwa muyahudi lakini ukweli ni kuwa mahangaiko ya wapalestina na kutokana na itikadi za kitapeli za Iran na hamas kiujumla.
View attachment 3118416
Harakati za hamas sio za ukombozi wowote ila ni za itikadi za kitapeli zinazoshabikiwa na matapeli.
Sasa toka lini mwenye madaraka anaweza kubali nchi igawanywe?Tatizo walipewa nafasi ya kukagawana ziwe nchi mbili ila wao wakagoma
Kuna jamaa nilimwambia muda sio mrefu semaji la Houth litaenda na maji akakataa nikamwambia ni suala la muda tuView attachment 3118460
Tulia tuli mzuri yanakuja
Labda tukufahamishe bila damu waisrael wasinge rudi paleHawa wataki aman
Asili yao ni damu.
Kiwe kifusi pawe mchanga pale ndio kwao kuna ardhi nyingi tu waliahidiwa lakini wamekataa na kubaki kwaoHasara waliyopata wapalestina hawatakaa wairudishe milele, fikiria hata vita ikiisha leo wanaanzia wapi kurudisha maisha yao? Gaza ni kifusi tu then kijekuwa makazi, halafu huduma za kijamii kama shule, hospital nk. So watoto wa Palestina na elimu labda kizazi kijacho na watakaoenda nje watabahatika. Otherwise ni majuto tu. Pale binadamu anapokuwa mnyama!!
Out of context anyway, ahsante kwa mchango wakoKiwe kifusi pawe mchanga pale ndio kwao kuna ardhi nyingi tu waliahidiwa lakini wamekataa na kubaki kwao