Wamesema hawaitaki simbaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamelodi huu moto wa simba nadhan hataman kuonana nao..
Moto wa mabua ndio umtishe mamelod? Mkishindaga uwa mnakuwa na maneno meeengiii kama wauza karanga, kwaiyo kumfunga kibonde horoya ndio mmejiona bayern munich mnaanza kujilinganisha na mamelod!Mamelodi huu moto wa simba nadhan hataman kuonana nao..
Naona ushindi dhidi ya kibonde horoya umewalevya, Subilini majibu yenu mtayapata siku sio nyingiSalaam wana Msimbazi..!!
Niwapongeze wote kwa ushindi mzito na mnene tulioupata leo dhidi ya timu ya Horoya kutoka Guinea.
Muhimu ushindi huu mzito tulioupata nyumbani, tutambue utaamsha ari ya mashabiki na wachezaji wa Simba SC, hasa tukielekea mechi yetu ya robo fainali, wajue kwamba hakuna kisichowezekana chini ya jua, juhudi na nidhamu ya kazi ndio siri ya vyote.
Ushindi huu mzito utawatisha hata wapinzani wetu, sasa watajua Tanzania kuna timu inaitwa Simba SC, ikiwa nyumbani kwake kaa nayo mbali ni kama moto wa gesi.
Hii ni pasipo kujali mpinzani wetu atakuwa nani, Nguvu Moja.
Mamelodi Sundowns wanawasubili, kama nyinyi mna paka wale wana snake.Salaam wana Msimbazi..!!
Niwapongeze wote kwa ushindi mzito na mnene tulioupata leo dhidi ya timu ya Horoya kutoka Guinea.
Muhimu ushindi huu mzito tulioupata nyumbani, tutambue utaamsha ari ya mashabiki na wachezaji wa Simba SC, hasa tukielekea mechi yetu ya robo fainali, wajue kwamba hakuna kisichowezekana chini ya jua, juhudi na nidhamu ya kazi ndio siri ya vyote.
Ushindi huu mzito utawatisha hata wapinzani wetu, sasa watajua Tanzania kuna timu inaitwa Simba SC, ikiwa nyumbani kwake kaa nayo mbali ni kama moto wa gesi.
Hii ni pasipo kujali mpinzani wetu atakuwa nani, Nguvu Moja.
Miamba Al ahly walipigwa na Simba kwa Mkapa.Mamelodi Sundowns wanawasubili, kama nyinyi mna paka wale wana snake.
Habari zao waulize miamba Al Ahaly watakueleza vizuri.
Yanga alishawahi mpiga Al ahly kwa mkapaMiamba Al ahly walipigwa na Simba kwa Mkapa.
wao Mamelody ndo wakaulize habari za Simba kwa Al ahly.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa sisi level zetu na ndo maan tuko wote Robo final.Wydad Casablanca, Esperanse Tunisia au Mamelodi Sundowns a.k.a Masandawana.
Hongera kwa ushindi mtani, ila hapo mbele kuna aibu inakusubiri. Sio ajabu ukafanyiwa kama ulivyomfanyia Horoya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaa km mwehuuu.Moto wa mabua ndio umtishe mamelod? Mkishindaga uwa mnakuwa na maneno meeengiii kama wauza karanga, kwaiyo kumfunga kibonde horoya ndio mmejiona bayern munich mnaanza kujilinganisha na mamelod!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah sio kwa maumivu hayooo.Simba bado timu mbovu
Najua hizi gori 7 atazilipa kwa Raja Casablanca
Wao Mamelody ndo wakawaulize Al Ahly kuhusu Simba.Mamelodi Sundowns wanawasubili, kama nyinyi mna paka wale wana snake.
Habari zao waulize miamba Al Ahaly watakueleza vizuri.
Yajayo yanafurahisha, wale jamaa wana snake.Wao Mamelody ndo wakawaulize Al Ahly kuhusu Simba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]