denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Salaam wana Msimbazi,
Niwapongeze wote kwa ushindi mzito na mnene tulioupata leo dhidi ya timu ya Horoya kutoka Guinea.
Muhimu ushindi huu mzito tulioupata nyumbani, tutambue utaamsha ari ya mashabiki na wachezaji wa Simba SC, hasa tukielekea mechi yetu ya robo fainali, wajue kwamba hakuna kisichowezekana chini ya jua, juhudi na nidhamu ya kazi ndio siri ya vyote.
Ushindi huu mzito utawatisha hata wapinzani wetu, sasa watajua Tanzania kuna timu inaitwa Simba SC, ikiwa nyumbani kwake kaa nayo mbali ni kama moto wa gesi.
Hii ni pasipo kujali mpinzani wetu atakuwa nani, Nguvu Moja.
Niwapongeze wote kwa ushindi mzito na mnene tulioupata leo dhidi ya timu ya Horoya kutoka Guinea.
Muhimu ushindi huu mzito tulioupata nyumbani, tutambue utaamsha ari ya mashabiki na wachezaji wa Simba SC, hasa tukielekea mechi yetu ya robo fainali, wajue kwamba hakuna kisichowezekana chini ya jua, juhudi na nidhamu ya kazi ndio siri ya vyote.
Ushindi huu mzito utawatisha hata wapinzani wetu, sasa watajua Tanzania kuna timu inaitwa Simba SC, ikiwa nyumbani kwake kaa nayo mbali ni kama moto wa gesi.
Hii ni pasipo kujali mpinzani wetu atakuwa nani, Nguvu Moja.