Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwahiyo "Mafia" wamerudi? [emoji2]Tang Barbra atangaze kuachia ngazi Simba na leo ameonekana Qatar akishuhudia final ni ishara tosha kuwa Ceo huyo alikuwa akiizamisha Simba, Simba inapiga mpira mwingi sana jamani, wachezaji waliokuwa wanaonekana wazito wamebadilika sana, Akpan, amebadilika mno, mno.Timu inacheza soka safi sana, hata makocha wazungu wenyewe hawana uwezo wa kupiga mwingi sana kama wa leo.
Simba haitopoteza mchezo had inabeba ubingwa, iwe mvua au jua na mafia wa Simba watazicheza gemu za Yanga, tulieni tulieni, Barbra alikuwa kimeo Simba.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Awe Ceo halafu asiwe uwanjani kushuhudia gemu na badala yake ameonekana Qatar fainal, ni Ceo gan huyoSio kweli barbra mpaka sasa ni CEO weka kumbu kumbu zako sawa
Barbra anachukiwa na wapiga dili wa Simba, lakini pamoja na hilo sidhani kama ushindi wa leo unahusiana na kutotakiwa kwa Barbra kwasababu hata mechi ya mzunguko wa kwanza Geita walifungwa goli tatu na Barbra alikuwa ni C.E.O wa Simba. Ni kuzidiwa tu kwa timu kimbinu na ufundi hasa ukijifanya timu inayojua kuucheza mpira mwingi ( kupishana na Simba) basi utafungwa magoli mengi. Nidhamu ilikuwa ndogo kwa GeitaTang Barbra atangaze kuachia ngazi Simba na leo ameonekana Qatar akishuhudia final ni ishara tosha kuwa Ceo huyo alikuwa akiizamisha Simba, Simba inapiga mpira mwingi sana jamani, wachezaji waliokuwa wanaonekana wazito wamebadilika sana, Akpan, amebadilika mno, mno.Timu inacheza soka safi sana, hata makocha wazungu wenyewe hawana uwezo wa kupiga mwingi sana kama wa leo.
Simba haitopoteza mchezo had inabeba ubingwa, iwe mvua au jua na mafia wa Simba watazicheza gemu za Yanga, tulieni tulieni, Barbra alikuwa kimeo Simba.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ugenini kugumu kaka, ugenini bila mpango kazi nje ya uwanja hutoboi, we huoni jukwaani kulikuwa na mafia Idd Kajuna, huyo mtu hatar sana kwenye mipango ya ushindBarbra anachukiwa na wapiga dili wa Simba, lakini pamoja na hilo sidhani kama ushindi wa leo unahusiana na kutotakiwa kwa Barbra kwasababu hata mechi ya mzunguko wa kwanza Geita walifungwa goli tatu na Barbra alikuwa ni C.E.O wa Simba. Ni kuzidiwa tu kwa timu kimbinu na ufundi hasa ukijifanya timu inayojua kuucheza mpira mwingi ( kupishana na Simba) basi utafungwa magoli mengi. Nidhamu ilikuwa ndogo kwa Geita
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Unataka kusema nini? Rushwa na uchawi ndio yaliyoleta matokeo?Ugenini kugumu kaka, ugenini bila mpango kazi nje ya uwanja hutoboi, we huoni jukwaani kulikuwa na mafia Idd Kajuna, huyo mtu hatar sana kwenye mipango ya ushind
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Jezi nyeusiUnataka kusema nini? Rushwa na uchawi ndio yaliyoleta matokeo?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kwani uwanjani anacheza CEO?Awe Ceo halafu asiwe uwanjani kushuhudia gemu na badala yake ameonekana Qatar fainal, ni Ceo gan huyo
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Huyo Morison huko alikoenda amesaidia kipi kikubwa?Braza na mkuu kabisa Mwishokambi mi nakufatilia sana hata instagram najua unaifahamu sana simba tangu enzi hizoooo,najua wewe ni mwamba sana na huwa nakukubali sana..
Nyie ndo wenye simba yenu haswaaa,najua mnajua mengi sana kuhusu simba,so siwezi kubisha kitu kutoka kwako na kwa mkuu Gentamycin, yule demu babra alikuwa hatoshi kuwa mtendaji mkuu wa simba.
Mwanamke akipewa wadhifa wa juu kama ule,lazima ajione mungu mtu,mi sjapenda kabisa ishu ya kumuacha mtukutu bm3 nakocha wa viungo abdel,anaonekana ana attitude saa yule dada ingawa mi muhimu ila kwenye soka la bongo kuna mipango mingi nje ya uwanja kuliko ndani.
Tutaona kama yanga atatamba akikutana na mnyama sahizi.
Ina maana simba aikuhonga mkuu, maana yanga akimshindilia mpinzani kauli zenu ni amehonga vipi nyie amkuhonga?Tang Barbra atangaze kuachia ngazi Simba na leo ameonekana Qatar akishuhudia final ni ishara tosha kuwa Ceo huyo alikuwa akiizamisha Simba, Simba inapiga mpira mwingi sana jamani, wachezaji waliokuwa wanaonekana wazito wamebadilika sana, Akpan, amebadilika mno, mno.Timu inacheza soka safi sana, hata makocha wazungu wenyewe hawana uwezo wa kupiga mwingi sana kama wa leo.
Simba haitopoteza mchezo had inabeba ubingwa, iwe mvua au jua na mafia wa Simba watazicheza gemu za Yanga, tulieni tulieni, Barbra alikuwa kimeo Simba.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Una IDs nyingi unakumbukaje zote?Braza na mkuu kabisa Mwishokambi mi nakufatilia sana hata instagram najua unaifahamu sana simba tangu enzi hizoooo,najua wewe ni mwamba sana na huwa nakukubali sana..
Nyie ndo wenye simba yenu haswaaa,najua mnajua mengi sana kuhusu simba,so siwezi kubisha kitu kutoka kwako na kwa mkuu Gentamycin, yule demu babra alikuwa hatoshi kuwa mtendaji mkuu wa simba.
Mwanamke akipewa wadhifa wa juu kama ule,lazima ajione mungu mtu,mi sjapenda kabisa ishu ya kumuacha mtukutu bm3 nakocha wa viungo abdel,anaonekana ana attitude saa yule dada ingawa mi muhimu ila kwenye soka la bongo kuna mipango mingi nje ya uwanja kuliko ndani.
Tutaona kama yanga atatamba akikutana na mnyama sahizi.