Ushindi wa Barrack Obama tunajifunza nini Tanzania?

Ushindi wa Barrack Obama tunajifunza nini Tanzania?

1.tunajifunza kuwa hata hujui jukwaa sahihi lakupost hii post yako

2.tumejifunza husomi thread za mada zilizotangulia zinazofanana na ya kwako unakurupuka kupost wakati mada ipo
3.tumejifunza kuwa ushindi wa obama ni moja ya ajira kwa mtanzania kwasababu umepozst kwenye jukwaa la ajira na tenda
pass
 
yan mijitu mingine inakurupuka tu
hawa ndo walewale wakiitwa kwenye interview wakishindwa oh oh walikuwa washaweka watu wao...tulia kijana soma na ujue sehemu sahihi ya kupost hizo pumba zako!!!
 
Funzo ni kuwa Ngo'mbe ukimpeleka mtoni huwezi mlazimisha kunywa maji
 
Back
Top Bottom