Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mipango michafu ilianza kwa kuhamisha game toka Dar hadi Arusha, siku chache kabla ya gameLeo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
Mipango michafu ilianza kwa kuhamisha game toka Dar hadi Arusha, siku chache kabla ya gameLeo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
Ni kweli kabisa. Simba ni Simba. Hata kama akiwa mgonjwa atabaki kuwa Simba, mfalme wa nyika.Msimu huu binafsi nishakubali tumepoteza, hata tukienda shirikisho, nilishajiandaa kisaikolojia kuwa hata nafasi ya 5. Ngoja tuone msimu ujao tutajipanga vipi. Simba ni Simba hata akizungukwa na vyura 1000.
Wanakoroma kweli. Usiku mrefu na mvua ishaacha madimbwi tunafanyaje sasa.Ni kweli kabisa. Simba ni Simba. Hata kama akiwa mgonjwa atabaki kuwa Simba, mfalme wa nyika.
Huu ni msimu wa masika kwa vyura pale jangwani. Waache wapige kelele za furaha; ni wakati wao wa kujidai. Wakumbuke pia kuna msimu wa kiangazi na ukame. Siku wakikosa maji hayo makelele hayatasikika.
Msimu huu binafsi nishakubali tumepoteza, hata tukienda shirikisho, nilishajiandaa kisaikolojia kuwa hata nafasi ya 5. Ngoja tuone msimu ujao tutajipanga vipi. Simba ni Simba hata akizungukwa na vyura 1000.
Umevurugwa.Leo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
Hayo mawazo ya mtu lofa.Leo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
mimi ni yanga pure ila kwa mechi ya mwisho nipo simba,nataka iwe ya piliLeo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
Sasa kama anashindwa kuwa wa pili kwenye ligi huko kimataifa ataenda kufanya nini? kwanza shirikisho ni kombe rahisi kwa mujibu wao ngoja wakacheze tuone wataishia wapimimi ni yanga pure ila kwa mechi ya mwisho nipo simba,nataka iwe ya pili
We binti muda wote kinywa chako kinatema matusi tu.Hutaolewa usipobadilika.Hayo mawazo ya mtu lofa.
Leo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.
Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.