Ushindi wa Chamazi leo ulipangwa

Ushindi wa Chamazi leo ulipangwa

Mimi ni Simba damu damu,nasema tushiriki Shirikisho kwani hatukuwa na timu nzuri,na lawama ni kwa wanachama wenzetu wa Dar waliomrudisha Mangungu uongozini. Machungu haya yawe chachu ya kuijenga Simba upya. Inasikitisha sana lakini hatuwezi kujifariji kwa kuwepa chanzo cha matatizo yetu. Hatuna viongozi wenye passion ya mchezo wa mpira,hao.waliopo kwa malengo yao binafi ikiwepo ya kisiasa na kujipatia wengine kuoiga pesa.
 
Ni kweli kabisa. Simba ni Simba. Hata kama akiwa mgonjwa atabaki kuwa Simba, mfalme wa nyika.

Huu ni msimu wa masika kwa vyura pale jangwani. Waache wapige kelele za furaha; ni wakati wao wa kujidai. Wakumbuke pia kuna msimu wa kiangazi na ukame. Siku wakikosa maji hayo makelele hayatasikika.
Swali fikirishi je unajua kwanini Simba Mzee Huwa anafukwazwa kwenye familia akaanza kuzulula
 
Magoli ya Simba mengi ni ndondokela, ukitazama timu zingne znakua na movement nzur nasio bahat nasibu.
 
Leo pale chamazi kulikuwa na vituko, walidhania mnyama atashinda meengi hivyo jamaa wakagharamiwa kila kitu, mpango ulikuwa half time watoke ngoma katuro then kipind cha 2 washinde idadi hiyo kubwa na yule finest apate 2, very shame.

Kumbe mnyama wala hakuwa na mipango michafu, sasa kama mnataka vurugu subiri mechi ya mwisho, tutampiga JKT bao 15 halafu mseme tumehonga.
Goli la simba lilikuwa la mauzo hakuna ubishi
 
Nyingi ndio mmewafundisha Azam FC sanaa mliwafunga Geita magoli ya mauza uza na wao wamepiga comeback
 
Kunya anye kuku tu bata kaharisha. Mbona hizo biashara nyie Yanga na Simba mnafanya sana,yeye Azam ni nani hadi asifanye? Wacheni kelele huu upuuzi mumeanza nyie mapacha wa Kariakoo
 
Back
Top Bottom