Pre GE2025 Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?

Pre GE2025 Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.

Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?

Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?

Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?

Snapinst.app_472485135_1412699473033179_5873903831047825042_n_1080 (1).jpg

Soma pia:
 
Cdm Wakipata mgombea pendwa uchaguzi mkuu utanoga sana
Umeona eeeh, uchaguzi utakuwa na amsha amsha sana, ni kama vile wananchi wamerudisha imani kiasi fulani kuhusu siasa nchini
 
Wakuu,

Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.

Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?

Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?

Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?
Tutarajie yale yalikuwa yakikwamishwa kwa muda mrefu yatakwamuliwa
 
Mambo Siyo mepesi, ila huo ni mwanzo mzuri unaoleta matumaini,

Mimi nashauri CHADEMA waelekeze nguvu kubwa kusajili wanachama wapya maana ni wazi wanachama wengi watahamia CHADEMA na hata wale ambao hawakuwa na Vyama wanaenda kushawishika kujiunga , hivyo Chama kijipange sana kuuza Kadi , hasa zile Kadi za ki electronic Ili kukiwezesha Chama kuwa na uwezo wa kifedha kwa ajili ya kujiendesha , Chama kikishakuwa na uchumi mzuri ni rahisi kufika shinani ambako haswa ndipo ulipo msingi wa Chama chochote cha kisiasa
 
Wakuu,

Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.

Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?

Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?

Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?

Samia hawezi kushinda uchaguzi wa huru na haki. Pona yake ni kufanya uchaguzi wa Kimagufuli kama alivyofanya Nov. 2024 akisaidiwa na MKWE MWENYE KIFUA KIPANA.
 
Wakuu,

Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.

Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?

Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?

Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?
Sasa ndo chadema inaanza.
Kazi kubwa sasa ni kukiuza chama kwa wananchi na ipatikane mass kubwa ya watu wa kukiunga mkono kwa vitendo.
Am happy now issue ya ukanda kuwa ni chama cha wachagga imezikwa rasmi.
Watu wa ulinz wakiacha kuibeba beba mcc basi shughuli imeisha.
 
Uchaguzi utakuwa wa moto sana, Lissu apewe ulinzi, kikubwa chama kiwe na mshikamano
 
Wakuu,

Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.

Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?

Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?

Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?
Haya yote yanawezekana iwapo kutakuwa na maboresho ya kweli kwenye katiba na Tume ya Uchaguzi ya Taifa vinginevyo business as usual.
 
Ni noma, sijui watakuja na stunt gani kuzima huu moto, labda wafufue wafu kwa msaada wa Gwaji Boy :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
Uchaguzi huo haimaanishi kuwa CHADEMA Ina nguvu kiasi hicho. Kuna maeneo mengi tu hata rangi ya bendera ya CHADEMA hawaijui achilia mbali kutokuwepo hao wanachama. Lakini tukiona hiyena hiyena ya watu wa mjini tunajidanganya na huku vijijini tunakoishi walima ufuta na mtama eti tunaijua CHADEMA tunajidanganya.
 
Back
Top Bottom