Huyo huyoo lissu ndo kiboko yao, natabiri mapeema kabisa...mama abdul atakimbia mdahalo dhidi ya lissu!!.Cdm Wakipata mgombea pendwa uchaguzi mkuu utanoga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyoo lissu ndo kiboko yao, natabiri mapeema kabisa...mama abdul atakimbia mdahalo dhidi ya lissu!!.Cdm Wakipata mgombea pendwa uchaguzi mkuu utanoga sana
Mwasi Kitoko TlaatlaahHaya yote yanawezekana iwapo kutakuwa na maboresho ya kweli kwenye katiba na Tume ya Uchaguzi ya Taifa vinginevyo business as usual.
Mwasi Kitoko soma maelezo mkuuelezea kwa kina kifup zaidi gentleman kwa faida ya waDau 🐒
Yapi hayo gentleman 🐒Mwasi Kitoko soma maelezo mkuu
Pale juu Mwasi KitokoYapi hayo gentleman 🐒
Vipi machawa mnasemaje?Yapi hayo gentleman 🐒
Mgombea pendwa chadema ni nan sasa.?Cdm Wakipata mgombea pendwa uchaguzi mkuu utanoga sana
kitokolo vpi gentleman 🐒Pale juu Mwasi Kitoko
Wakuu,
Lissu amekuwa akiongelewa kama mtu mwenye misimamo, aliyenyooka, na siyo rahisi kuyumbishwa. Yeye na Heche imekuwa pea moja ambayo inaendana kwa kwenye misamamo na njia zao za kuongoza wote wakiongelea mabadiliko makubwa ndani ya chama na maeguzi kwenye siasa za Tanzania.
Baada ya ushindi wa Lissu kwenye nafasi ya Uenyekiti CHADEMA na Heche kama Makamu wake, inamaanisha upinzani utazidi kuimarika na kuongeza siasa safi nchini? CCM itaacha kuzembea na kuongeza nguvu kwenye kuongeza ubora wa huduma ili kuendelea kubaki madarakani?
Mchuano wa Uchaguzi Mkuu utakuwa moto na Samia kuhenyeshwa kwelikweli? Vipi ubande wa ubunge, unawaona upinzani wakipata viti vingi na kuwa na bunge lenye uwakilishi mkubwa pamoja na mchuano mkali hoja zitakapokuwa zinaletwa mezani?
Vipi ushiriki wa Watanzania kwenye masuala ya siasa? Tutegemee ushiriki mkubwa wa wananchi kwenye siasa na uchaguzi Mkuu?
Mwasi Kitoko azimio la Dodomakitokolo vpi gentleman 🐒
Hata hapo mwanzo mlisema hatashinda Nafasi ya MwenyekitiLisu hatoweza kuongoza chama
Mgombea pendwa chadema ni nan sasa.?
Kwa nini?Lisu hatoweza kuongoza chama
4R za mchongo za Mbowe na team yakeNi dhahiri kwamba hakuna tena story za MARIDHIANO
Ni rasmi 4Rs zimezikwa na kuagwa leo 22.1.2025.