Pre GE2025 Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safi sana. Umma umeshinda na sasa tukijenge chama kwa moyo safi
 

Wazee wa kitengo usema TAL ni shida sana
 
Bila kupepesa macho kama uchaguzi mkuu utakuwa wazi na huru kama huu wa chadema Samia ndio basi tena atastaafishwa. Mifumo ya nchi ijiandae tu kisaikolojia kupokea mabadiliko ya kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…