big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Ngumu kumuelewa mayweather kama huangalii akili anayoitumia ulingoni,punch zake nyingi zinafika na ndio point ila yeye anajilinda mno,kama leo pacquiao karusha ngumi nyingi na kushambulia ila chache mno ndo zimempiha mayweather ila za mayweather nyingi zimetua na ameshinfa round nyingi kuliko pacquiao.
Ukiangalia juu juu utaona kabebwa ila kiutaalam huu ni ushindi wa waza kabida
Ukiangalia juu juu utaona kabebwa ila kiutaalam huu ni ushindi wa waza kabida