big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Mkuu lakini unajua point zinapatikana vipi kwenye nchezo wa ngumi?
Sasa kule kukimbia uringoni kama mwanariadha mpaka anasahau kona yake,nako walikua wanampa point?Ngumu kumuelewa mayweather kama huangalii akili anayoitumia ulingoni,punch zake nyingi zinafika na ndio point ila yeye anajilinda mno,kama leo pacquiao karusha ngumi nyingi na kushambulia ila chache mno ndo zimempiha mayweather ila za mayweather nyingi zimetua na ameshinfa round nyingi kuliko pacquiao.
Ukiangalia juu juu utaona kabebwa ila kiutaalam huu ni ushindi wa waza kabida
kwa kweli may weather sio bondia mzuri...
​mkuu wameenda zote 12tunaomba kujuzwa zaidi sisi wengine hatujashuhudia pambano. kashinda kwa KO au round na ni round ya ngapi?
tunaomba kujuzwa zaidi sisi wengine hatujashuhudia pambano. kashinda kwa KO au round na ni round ya ngapi?
Kuna sheria wanaitumia ya Annonimous Decision kama sijakosea spelling,ni ivi mtu akiwa anatetea mkanda ktk majaji watatu,wawili wakiwa mfano kwa pacquiano mmoja akiwa kwa may weather huo ni ubingwa wa mtetezi.inatakiwa kumvua mtu mkanda majaji woote wawe kwako,pambano la 47 may wether alipigwa vibaya na Margentina sema sheria iyo kandamizi ikambeba na imeendelea kumbeba,wanasema may weather won by annonimous decision.