Kama ilivyokuwa kwa Azam na Simba, Yanga nao wamepata ushindi wa mbinde kwa Ihefu wa goli moja tu. Ikumbukwe kuwa ktk mechi za Azam v Ihefu na ile ya Simba v Ihefu zilizochezwa Dar es salaam zote ziliisha kwa matokeo kama hayo.
Kwa upande mwingine, idadi ya timu ambazo hazijafungwa na Mayele hapa nchini imepungua na kubaki mbili tu Prisons na Ruvu shooting. Hii ni baada ya kuwatungua Ihefu leo na kufikisha magoli 15.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Kwa upande mwingine, idadi ya timu ambazo hazijafungwa na Mayele hapa nchini imepungua na kubaki mbili tu Prisons na Ruvu shooting. Hii ni baada ya kuwatungua Ihefu leo na kufikisha magoli 15.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app