ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .
Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.
View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==
My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.
Bado zamu yake na Mwamba.
View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt
Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.
View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==
My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.
Bado zamu yake na Mwamba.
View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt