Ushindi wa Sharifa Suleiman wa BAWACHA ya Chadema ni Ujumbe tosha kwa Lissu na Wafuasi wake kwamba Sera za Ubaguzi zimekataliwa

Ushindi wa Sharifa Suleiman wa BAWACHA ya Chadema ni Ujumbe tosha kwa Lissu na Wafuasi wake kwamba Sera za Ubaguzi zimekataliwa

Sharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.

Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
Ndivyo unavyosema. Si mlisema uchaguzi umeisha baada ya Lissu kum endorse Simba?
Nyie kila mtu asiyeabudu katika altare ya Lissu mnasema amelamba asali.

Amandla...
 
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .

Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.

View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==

My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.

Bado zamu yake na Mwamba.

View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt



Machawa wa CCM mnashabikia Chadema😂😂
 
Ndivyo unavyosema. Si mlisema uchaguzi umeisha baada ya Lissu kum endorse Simba?
Nyie kila mtu asiyehudu katika altare ya Lissu mnasema amelamba asali.

Amandla...
Kama ndivyo basi CHADEMA wote ni walamba asali ila tu hawapata nafasi
 
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .

Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.

View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==

My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.

Bado zamu yake na Mwamba.

View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt

Mbowe kapata 'backup '....

Retired Dr Matola PhD
 
Sharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.

Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
Acha ujinga wako we binti. Huyo Lissu atabaki kuwa mwanachama wa kawaida. Na chama kitaendelea vzr bila shida. Akina Lissu na wenzake wanahasira na wamepanga kulipa visasi. Hatuhitaj watu kama hao aisee
 
Kitendo tu cha Simba kumzidi kura Suzan Kiwanga ilikua warning sign kwa Team Mbowe ikabidi hadi kiwanga amuongezee kura zake otherwise huyo Sharifa asingeshinda. Hivi huyo sharifa ndio aongoze mapambano ya katiba mpya na tume huru? Mbowe hayupo serious kabisa ni mara kumi hata Kiwanga ndio angeshinda.

Najaribu ku assume chadema ya 2025-30 yaani Mbowe, Wenje, sharifa!! Duh nitaachana tu na hiki chama.
Nadhani Mbowe anafahamu anachokihitaji na anapambana akipate.
 
Sharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.

Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
Amewashinda watu wenu wapuuzi,Kila mnabiwa stori za mitandaoni haziwezi kuakisi uhalisia hamuelewi,ona Sasa 😆😆
 
Kitendo tu cha Simba kumzidi kura Suzan Kiwanga ilikua warning sign kwa Team Mbowe ikabidi hadi kiwanga amuongezee kura zake otherwise huyo Sharifa asingeshinda. Hivi huyo sharifa ndio aongoze mapambano ya katiba mpya na tume huru? Mbowe hayupo serious kabisa ni mara kumi hata Kiwanga ndio angeshinda.

Najaribu ku assume chadema ya 2025-30 yaani Mbowe, Wenje, sharifa!! Duh nitaachana tu na hiki chama.
Sio wewe tu, chama kitakuwa kama UDP au TLP
 
Amewashinda watu wenu wapuuzi,Kila mnabiwa stori za mitandaoni haziwezi kuakisi uhalisia hamuelewi,ona Sasa 😆😆
Timu mbowe ilikuwa inamuunga mkono Suzan Kiwanga. Na ameangukia pua vibaya sana.
Lisu atawanyoosha nyie machawa na sultani wenu
 
Wanawake wakishakukataa elewa fika kabisa kwamba umeshakwishaa.
 
Timu mbowe ilikuwa inamuunga mkono Suzan Kiwanga. Na ameangukia pua vibaya sana.
Lisu atawanyoosha nyie machawa na sultani wenu
Suzan kiwanga alikua na kura 100 dhidi ya Celestine aliyepata 116!! Kaangukaje vibaya? Halafu kwenye huu uchaguzi Sharifa Suleiman ndo alikua team Mbowe!! Yule Bi Simba aliona kiki ya Lissu itambeba matokeo yake?
 
Ra
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .

Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.

View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==

My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.

Bado zamu yake na Mwamba.

View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt

Rangi za mbowe kuelekea kijani zinazidi kuonekana, haya endelea kumfurahisha bimkubwa
 
Mbowe akishinda hiki chama kinaenda kuwa kama CUF tu. Wananchi wengi wasioegemea upande wowote hawana imani na Mwenyekiti. Wengi hawatapiga kura au watawapa tu CCM kwa hasira.
 
Back
Top Bottom