ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Hadi kibaraka Lisu?Ni ushindi wa wapenzi na wanachama wote wa Chadema akafanye kazi ya chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi kibaraka Lisu?Ni ushindi wa wapenzi na wanachama wote wa Chadema akafanye kazi ya chama.
Ndivyo unavyosema. Si mlisema uchaguzi umeisha baada ya Lissu kum endorse Simba?Sharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.
Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
We na Tlaatlaah ni pacha nyuzi zenu zinafanana ni upupu mtupuSijawahi kuwa kibaraka Bali shabiki wa Samia na ueleweke Mimi sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa
💉💉We na Tlaatlaah ni pacha nyuzi zenu zinafanana ni upupu mtupu
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .
Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.
View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==
My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.
Bado zamu yake na Mwamba.
View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt
💉💉💉Machawa wa CCM mnashabikia Chadema😂😂
Mganga njaa unayeishi kwa huruma za wanasiasa.Sijawahi kuwa kibaraka Bali shabiki wa Samia na ueleweke Mimi sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa
Kama ndivyo basi CHADEMA wote ni walamba asali ila tu hawapata nafasiNdivyo unavyosema. Si mlisema uchaguzi umeisha baada ya Lissu kum endorse Simba?
Nyie kila mtu asiyehudu katika altare ya Lissu mnasema amelamba asali.
Amandla...
Nasikia TAL tumbo limevurugika.Nyie watu mna kichaa! Mnamlaumu mbowe Kwa sababu ya demokrasia?
Ni mawazo Yako tuu 😂😂Mganga njaa unayeishi kwa huruma za wanasiasa.
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .
Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.
View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==
My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.
Bado zamu yake na Mwamba.
View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt
Acha ujinga wako we binti. Huyo Lissu atabaki kuwa mwanachama wa kawaida. Na chama kitaendelea vzr bila shida. Akina Lissu na wenzake wanahasira na wamepanga kulipa visasi. Hatuhitaj watu kama hao aiseeSharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.
Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
Nadhani Mbowe anafahamu anachokihitaji na anapambana akipate.Kitendo tu cha Simba kumzidi kura Suzan Kiwanga ilikua warning sign kwa Team Mbowe ikabidi hadi kiwanga amuongezee kura zake otherwise huyo Sharifa asingeshinda. Hivi huyo sharifa ndio aongoze mapambano ya katiba mpya na tume huru? Mbowe hayupo serious kabisa ni mara kumi hata Kiwanga ndio angeshinda.
Najaribu ku assume chadema ya 2025-30 yaani Mbowe, Wenje, sharifa!! Duh nitaachana tu na hiki chama.
Amewashinda watu wenu wapuuzi,Kila mnabiwa stori za mitandaoni haziwezi kuakisi uhalisia hamuelewi,ona Sasa 😆😆Sharifa hamna kitu ni walamba asali wale wale tu. Simba hakua popular ila endorsement ya Lissu ndio ikampa momentum ila angekua strong candidate kama kina Aida basi angemuangusha huyo mzanzibari.
Ni hivi, huyo sharifa ni mara 10 hata angerudishwa mdee tu, she's a liability. Ni lazima tuwe na watu serious ili kuitoa CCM sio hawa walamba asali.
Sio wewe tu, chama kitakuwa kama UDP au TLPKitendo tu cha Simba kumzidi kura Suzan Kiwanga ilikua warning sign kwa Team Mbowe ikabidi hadi kiwanga amuongezee kura zake otherwise huyo Sharifa asingeshinda. Hivi huyo sharifa ndio aongoze mapambano ya katiba mpya na tume huru? Mbowe hayupo serious kabisa ni mara kumi hata Kiwanga ndio angeshinda.
Najaribu ku assume chadema ya 2025-30 yaani Mbowe, Wenje, sharifa!! Duh nitaachana tu na hiki chama.
Timu mbowe ilikuwa inamuunga mkono Suzan Kiwanga. Na ameangukia pua vibaya sana.Amewashinda watu wenu wapuuzi,Kila mnabiwa stori za mitandaoni haziwezi kuakisi uhalisia hamuelewi,ona Sasa 😆😆
Suzan kiwanga alikua na kura 100 dhidi ya Celestine aliyepata 116!! Kaangukaje vibaya? Halafu kwenye huu uchaguzi Sharifa Suleiman ndo alikua team Mbowe!! Yule Bi Simba aliona kiki ya Lissu itambeba matokeo yake?Timu mbowe ilikuwa inamuunga mkono Suzan Kiwanga. Na ameangukia pua vibaya sana.
Lisu atawanyoosha nyie machawa na sultani wenu
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara .
Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo wale wagombea wagombea waliokuwa wanaopigiwa chapua na kibaraka Lisu mfano Simba.
View: https://www.instagram.com/p/DE9QnaPof4P/?igsh=MTV3bG9rbXU1cnVseg==
My Take
Itoshe kusema uropokaji wa kibaraka Lisu na sera za ubaguzi umekataliwa rasmi kuanzia Chadomo Hadi Kwa Watanzania wa kawaida.
Bado zamu yake na Mwamba.
View: https://www.instagram.com/p/DE-Qg_INCNS/?igsh=dWpmMmF5MTMzNXdt