Ushindi wa Trump ni mwiba kwa viongozi wa Afrika

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Ushindi wa Trump unaenda kua mwiba kwa hawa viongozi wa Africa wanaopenda kutembeza bakuli kuomba omba. Naona sasa dawa imepatikana.

Hao mnaowatembezea bakuli na kila kukicha kwenda nchini kwao walisacrifice kwa ajili ya nchi zao mpaka leo zipo kama mnavoziona.

Hawakusacrifice kwa ajili ya matumbo yao na familia zao. Mda si mrefu omba omba wataanza kulia Trump anawadhalilisha 😂
 
USA sio omba omba, bali ni jambazi. Uliza Libya, Iraq, Venezuela na wengine wote waliokataa kula pamoja US kwenye utajiri wa mafuta, uliza kilichowakuta..

Uliza wote waliokataa kuchukua mikopo ya IMF yenye riba za kutisha, mfano Eritrea, uliza kilichowakuta…

Uliza waliojaribu kukataa kutumia Dollar ya Marekani kwenye biashara za kimataifa.., mfano Gaddari aliyetaka kuanzisha gold backed currency ya Afrika…, hata hawa BRICS wawe makini!
 
Wajiandae wajitathimini alishaona zamani kuwa wanastahili kuwa makoloni kwa mara nyingine,ili waweze kujiongoza wenyewe na kuwaongoza watu wao.
 
Trump ameanza kuliza watu 😂 watu tuna maono bhana 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…