Ushindi wa Trump pigo kwa Sugu, balozi wa Marekani Tanzania kung'olewa. Ni yule aliyeingilia mambo ya ndani ya Tanzania

Ushindi wa Trump pigo kwa Sugu, balozi wa Marekani Tanzania kung'olewa. Ni yule aliyeingilia mambo ya ndani ya Tanzania

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Sugu ni mtumishi mwaminifu wa Marekani sio wachama wewe elimika Marekani sio Tanzania ya CCM
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Ataondika naye ili ufe kwa riho mbaya kabisa.
WAna ccm ni sumu mbaya sana
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Siyo kuwa ajiandae yule aliyeitwa shit hole?
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Hata kabla ya huyu, yule aliyetangulia pia alikuwa na ukaribu na Sugu na alikuwa akienda Mbeya lazima aonane naye.
Punguza wivu, Baltasar akikuona au kukusikia anaweza akakosea na kujikuta akikuchanganya na wale 400
 
Maana yake huyo alikuwa mpinzani wa chama tawala sasa jifundisheni kutowakamata wapinzani na kuwafungulia kesi msijadili ya huko wakati kwenu ni wakatili wa kuwaua wapinzani wa kisiasa kisa kutofautiana mawazo.
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Balozi ataendelea na maisha yake bila bughudha na Sugu hatodaiwa kodi na USA.
 
Katika ushindi wa Trump jambo la maana kwako ni urafiki wa Sugu na balozi? Badala udiskas misaada mnayopewa na mikopo kama itapungua ama la. Maana hata condom utasikia kwa hisani ya wamarekani. Na kama balozi wa marekani anaingilia masuala ya ndani ya nchi yako mbona mmeufyata kumfukuza? mnabaki kugugumia moyoni utadhini kitu cha Sean Combs kimewanasia. We na Lucas mwashambwa ni pacha.
 
Wanalumumba buku 7 akili zenu huwa zinanishangaza maana huwa ni wasahaulifu sana.

Kinana kukutana na balozi ni kujadili na kuimarisha ushirikiano wa Tanzania na Marekani.

Sugu kukutana na balozi ni kuingilia uhuru wa nchi na kuchochea mapinduzi.

Mkijengewa vyoo,barabara , kupewa ARV na condom za msaada mnawashukuru na kuwaita wahisani .

Wakiwasema mdumishe demokrasia muache kuteka wakosoaji wa serikali mnawaita wabaguzi na mabeberu.

Tuwaeleweje sasa?
images - 2024-11-06T130828.618.jpeg

OND2.jpg
IMG_20241106_130347.jpg
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa na mdomo mdomo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Sugu alifaidika nini?
 
Back
Top Bottom