Ushindi wa Trump pigo kwa Sugu, balozi wa Marekani Tanzania kung'olewa. Ni yule aliyeingilia mambo ya ndani ya Tanzania

Ushindi wa Trump pigo kwa Sugu, balozi wa Marekani Tanzania kung'olewa. Ni yule aliyeingilia mambo ya ndani ya Tanzania

Msijidanganye - sera za marekani kuhusu demokrasia Duniani kote ni zilezile.
 
Huyu Trump si ndio alituitaga sisi eti ni Siti hole ??!
Akaendelea kusema Eti kazi yetu sisi ni kulalamika lalamika tu ila kuchukua maamuzi eti ni Zero kabisa 😅😳🙄

Jamaa ana matusi ya kirejareja sana huyu Mzee !
Ngoja Tusubiri tuone this time atatufananishaje 🙄!
City Hall?
 
Huyu Trump si ndio alituitaga sisi eti ni Siti hole ??!
Akaendelea kusema Eti kazi yetu sisi ni kulalamika lalamika tu ila kuchukua maamuzi eti ni Zero kabisa 😅😳🙄

Jamaa ana matusi ya kirejareja sana huyu Mzee !
Ngoja Tusubiri tuone this time atatufananishaje 🙄!
Shit-hole kwa kiswahili kizuri ni Shimo lisilo na uelekeo
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
ushindi wa D.Trump ni pigo kwa bashite na ccm
 
alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani
Inategemea connection ni ya kichama ama ni zaidi ya kichama? "mules" hawana "suti" maalumu!
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Kwani Balozi anawakilisha chama au Serikali?! Au unaongelea Balozi wa nyumba 10?
 
Kwani Balozi anawakilisha chama au Serikali?! Au unaongelea Balozi wa nyumba 10?
Balozi ni kamisaa wa kisiasa, angalia hata Tanzania, akiingia Rais Mpya, huwa anaondoa mabalozi takribani wote waliowekwa na mtangulizi wake
 
Mamayo ameshindwa kufanya jiji liwe na maji ya uhakika ila una hangaika na Sugu?

Mavi matupu
 
Tueleze kwanza sera ya mambo ya nje ya marekani kwa Tanzania na vipaumbele vyake...
 
Sasa ni rasmi, Balozi wa Marekani nchini Tanzania anaondoka. Hii ni baada ya ushindi wa kinbunga wa Donald Trump. Kwa taratibu, anaposhinda Rais wa chama tofauti, hubadili mabalozi wote dunia nzima na kuteua wa kwake.

Kwa mfano, chama cha balozi huyu kinaunga mkono ushoga, Trump anaupinga, kwa hiyo lazima awe na balozi wake.

Balozi huyo alikuwa kipenzi cha Sugu, na mara kadhaa alilala hotelini kwake, na Sugu alikuwa anaingia Ubalozi wa Marekani kama anavyoingiaga soko la Uyole.

Balozi huyo alifanya Tanzania itoe onyo kali kwake kwa sababu alikuwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Akili ndogo kama hizi? Kwani huwa mnawaza nn hadi kuandika matapishi haya
 
Back
Top Bottom