Umewaona wabrazil wakicheza, udhaifu wao upo wapi. Katika watu wanaoshabikia mpira na kuupenda ni asilimia 1% tu ndio wanaoujua. Source (Mimi 2019).Simba wamezingua sana.
Watakosa mapato ya jezi maana watu hawatanunua
Watakosa viingilio maana watu hawataingia
Mikataba ya makampuni itapungua.
Dharau kule Msumbiji ndio sababu ya Simba kufungwa.
Simba haikuwa na sababu ya kuchukua wachezaji wa Yanga,Wabrazil
"ni zamu yetu Yanga kuwabeba mwaka huu"! wewe ni muungwana sana,umekili kuwa Simba tuliwabeba.Ila mtajibeba wenyewe,Simba itaenda kwa tiketi ya ubingwa wa ligi kuu.Simba na Yanga walikuwemo kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Wote walianza kwenye hatua ya kwanza kwa kupepetena na timu za Msumbiji na Botswana.
Mechi za awali zilishuhudia Simba na Yanga zikipata suluhu na sare. Simba ilipata suluhu ugenini na Yanga ikapata sare nyumbani.
Yanga, wakithibitisha kuwa wao ni wa kimataifa, walipata ushindi wa bao moja huko Botswana. Wakasonga mbele. Simba, wakiwa nyumbani Taifa,waliambulia sare ya moja kwa noja na kufurushwa mashindanoni.
Hadi hapo, Yanga ndiyo wa kimataifa. Simba hubebwa na mashabiki wa Yanga kwenye michuano ya kimataifa. Hata kuwazomea huwafanya kuchachamaa. Kuwepo mashindanoni wote, ni kumaliza ubishi.
Yanga wamedhihirisha kuwa wao ni zaidi ya Simba kwenye uga wa kimataifa. Pole ni sana Simba, ni zamu yetu Yanga kuwabeba mwaka huu!
Yanga mkibeba Timu zaidi alizobeba Simba, hapo mtapata uhalali japo wa nusu saa wa kuitwa Wa kimataifa
Ni sahihi kusema kwamba Simba imechangia Tanzania kuingiza timu nne mwaka huu kwenye mashindano ya CAF. Ni sahihi, labda kama wengine hawafahamu, kwamba Yanga imechangia kuingiza timu nne mwaka huu. Yaani kama si hatua iliyokuwa imefikiwa na Yanga kwenye miaka yake mitatu ya ushiriki wa mashindano ya CAF, kufika robo fainali kwa Simba pekee kusingetosha Tanzania kuingiza timu nne.Yanga mkibeba Timu zaidi alizobeba Simba, hapo mtapata uhalali japo wa nusu saa wa kuitwa Wa kimataifa
Simba alibeba wachezaji wa yanga ili kuwakomesha yanga kumbe kalamba magaharasaSimba wamezingua sana.
Watakosa mapato ya jezi maana watu hawatanunua
Watakosa viingilio maana watu hawataingia
Mikataba ya makampuni itapungua.
Dharau kule Msumbiji ndio sababu ya Simba kufungwa.
Simba haikuwa na sababu ya kuchukua wachezaji wa Yanga,Wabrazil
👊👊👊Maisha sio userious kila siku.Sometimes una have fun.
5imba ni mama wa nyumbani na nitakueleza kwa nini hata kabla hujaniuliza.Huu ni uzi mahsusi kwa ajili ya watani zetu Simba!
wachezaji kutochezeshwa kwenye mechi muhimu wakati sio majeruhi ni kidhibitisho tosha kiwango chao hakiridhishiUmewaona wabrazil wakicheza, udhaifu wao upo wapi. Katika watu wanaoshabikia mpira na kuupenda ni asilimia 1% tu ndio wanaoujua. Source (Mimi 2019).
Ni PopoHivi JPM ni simba au Yanga?
Swadakta,ukiwa pande hizi unakuwa huru kutumia akili zako ipasavyowachezaji kutochezeshwa kwenye mechi muhimu wakati sio majeruhi ni kidhibitisho tosha kiwango chao hakiridhishi
Halafu yeye akafurushwa mapemaa[emoji23][emoji23][emoji23] wa kimataifa Ni yule aliyeingiza timu nne kushiriki michuano ya kimataifa.