Ushiriki kwenye uzinduzi wa kiwanda cha kuunganisha malori na tipa

Dada kavaa vizuri na kupendeza vizuri kabisa .
 
well done comrade πŸ‘
 
Watu mna makasiriko πŸ˜‚

Sasa hamtaki kiwanda kizinduliwe?
 
Punguza hizo mkuu
 
Ni assembling plant ya finished product, tafsiri yake itamfavour Mchina kuimport gari nyingi kadili awezavyo huku akinufaika na uwepo wa unskilled cheap labor, hatatumia umeme wetu mwingi maana it's just assembling,ni manufacturing process tu ndio ingeweza kutumia umeme mwingi.

Sidhani kama kutakuwa na unafuu wa bei Kwa anayenunua China na hapa ( nawajua wabongo na ujinga wetu).

Kitanufaisha tu Watanzania kama bei ya hizo trucks zitakuwa chini kwa Watanzania na mishahara kwa Watanzania itakuwa mizuri, training zitatolewa kwa wafanyakazi wazawa, kila mwaka watachukua vijana wetu wa internship na field, Serikali kuweka special programs Kwa watu kukopa na Got ikiwa guarantor.
 
Kumbe wewe na Lucas ni watu wawili tofauti....
 
Hii ni PhD ya kijinga sana, magufuli aliharibu utumishi wa umma kwa sababu ya kutumbua PhD za kipumbavu kama hizi
 
Unajua nini hizi mambo za vyama embu tuache kwanza. Mi ningependa kujua jimbo linaruhusu wagombea au ndo form moja?
 
Mlikuwa mnazindua kiwanda au kongamano la CCM? umevaa hilo sharti lako badala ya kwenda kufanya kazi umri unaenda bila kuolewa umebaki na kazi ya uchawa pekee, baada ya miaka 3 ijayo hakuna mtu atakutongoza utakuwa ni bibi
Mimi babu nipo ntamtongoza acha kwanza awe chawa afu nitamkaribishaa kotini. Siunajua la babu halikosi chawa
 
Unalipa
 
Punguza kujiuza mitandaoni. Unajiaibisha. Usipende njaa ikuongoze Bali iongoze hiyo njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…