Ushiriki wetu michezo ya Olympic

Ushiriki wetu michezo ya Olympic

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,227
Reaction score
6,670
Tumepeleka wanamichezo 7 tu mashindano ya Olympic zanu hii, yawezekana ukosefu wa fedha, lakini pia, ni kushindwa kuandaa washiriki katika michezo kadhaa. Ninawaza michezo ambayo makabila mengi ni maarufu kama:

1) Kuogelea - makabila yanayojihusisha na uvuvi kama kwenye maziwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa, nk) mito (Mara, Rufiji, Kilombero, Ruvu, Ruvuma, nk), bahari ya hindi.
2) Mikuki na mishale - makabila yanayojihusisha na ufugaji na uwindaji, kama Wasandawe, Wagogo, Wanyaturu, Wamasai, Wabarbaig, nk.
3) Mbio ndefu - makabila yaishio milimani km Wapare, Wachagga, Wameru, Wanyakyusa, nk.

Kinachohitajika ni kukuza vipaji vya vijana huko kwa mipango mikakati badala ya urembo, sanaa, nk kama ilivyo kwa sasa.
 
Baiskel - Wasukuma, tanga
Mieleka, Ngumi- wasukuma, wanyamwezi, wakulya
 
Wanyakyusa walivyo mabonge hivyo wataweza kukimbia?
 
Mbeya kuna Rungwe, Chunya na Tukuyu, huko je mbio ndefu!
 
Back
Top Bottom