mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Tumepeleka wanamichezo 7 tu mashindano ya Olympic zanu hii, yawezekana ukosefu wa fedha, lakini pia, ni kushindwa kuandaa washiriki katika michezo kadhaa. Ninawaza michezo ambayo makabila mengi ni maarufu kama:
1) Kuogelea - makabila yanayojihusisha na uvuvi kama kwenye maziwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa, nk) mito (Mara, Rufiji, Kilombero, Ruvu, Ruvuma, nk), bahari ya hindi.
2) Mikuki na mishale - makabila yanayojihusisha na ufugaji na uwindaji, kama Wasandawe, Wagogo, Wanyaturu, Wamasai, Wabarbaig, nk.
3) Mbio ndefu - makabila yaishio milimani km Wapare, Wachagga, Wameru, Wanyakyusa, nk.
Kinachohitajika ni kukuza vipaji vya vijana huko kwa mipango mikakati badala ya urembo, sanaa, nk kama ilivyo kwa sasa.
1) Kuogelea - makabila yanayojihusisha na uvuvi kama kwenye maziwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa, nk) mito (Mara, Rufiji, Kilombero, Ruvu, Ruvuma, nk), bahari ya hindi.
2) Mikuki na mishale - makabila yanayojihusisha na ufugaji na uwindaji, kama Wasandawe, Wagogo, Wanyaturu, Wamasai, Wabarbaig, nk.
3) Mbio ndefu - makabila yaishio milimani km Wapare, Wachagga, Wameru, Wanyakyusa, nk.
Kinachohitajika ni kukuza vipaji vya vijana huko kwa mipango mikakati badala ya urembo, sanaa, nk kama ilivyo kwa sasa.