Ushirikiano wako na polisi ukoje

Ushirikiano wako na polisi ukoje

Kimsingi haupo, sina uhusiano na polisi kutokana na matendo yao ya kuudhi na kukatisha sana tamaa. Nimefikia mahali ambapo siwapendi polisi wa Tanzania. Uhusiano wangu na polisi wa Tanzania unakuwapo pale tu ambapo inabidi, ikiwa sina jinsi, au ninapoona ni kwa maslahi ya watu wengine ambao sio polisi.
 
Kimsingi haupo, sina uhusiano na polisi kutokana na matendo yao ya kuudhi na kukatisha sana tamaa. Nimefikia mahali ambapo siwapendi polisi wa Tanzania. Uhusiano wangu na polisi wa Tanzania unakuwapo pale tu ambapo inabidi, ikiwa sina jinsi, au ninapoona ni kwa maslahi ya watu wengine ambao sio polisi.
Hata Shemeji yako humpendi? Namaanisha yule anayemla mdogo wako
 
Hata Shemeji yako humpendi? Namaanisha yule anayemla mdogo wako

Kama mdogo wako anapenda kuhusiana na askari au watu katika uniform za polisi basi si kwamba kila msichana au mwanamke ana hiyo weakness. Mtafutie mdogo wako wana saikolojia wamsaidie kuondokana na tatizo hilo, na wewe pia watafute wakusaidie ili uwe na kufikiri kuliko sawa (have your head examined)
 
Kama mdogo wako anapenda kuhusiana na askari au watu katika uniform za polisi basi si kwamba kila msichana au mwanamke ana hiyo weakness. Mtafutie mdogo wako wana saikolojia wamsaidie kuondokana na tatizo hilo, na wewe pia watafute wakusaidie ili uwe na kufikiri kuliko sawa (have your head examined)
I'm not thé ont tous ne examinés Esther yo examinés others in thé même où jésus Mariah, ï look on thé arrête dindon thé si vallée citée aller have bien yake n'y dossiers, ï m'en police officiers.
 
1471105723616.jpg
 
Kamanda wa polisi dodoma alisema jeshi la polisi halihitaji msaada wowote kutoka kwa raiya,
Akasisitiza yoyote atakayejifanya kujitokeza kusaidia polisi atashuhulikiwa.
 
Kawaida uhusiano wa polisi na raia huwa mbovu sana, binafsi siwapendi maana wengi ni wala rushwa tena wanakubambikizia ukigoma kutoa rushwa.
Hata hivyo kuna wale wazuri ambao wameamua kutojihusisha na uhuni, japo hao wazuri hujikuta pabaya maana wapo chini ya amri ya viongozi wao wapotovu na wahuni.
 
Ukichukua dem wa mkuda ndo utajua wao nani!utapigwa chuma uambiwe we jambazi ubambikiwe na gobore hapo
 
Kamanda wa polisi dodoma alisema jeshi la polisi halihitaji msaada wowote kutoka kwa raiya,
Akasisitiza yoyote atakayejifanya kujitokeza kusaidia polisi atashuhulikiwa.
Dah.. kauli ilikuwa tata sana
 
watch a video, kenya police wakichezea watoto wa mtaa

 
kuna huyu alikua anasaidia gari lililokwama njiani
images(1).jpg
 
Back
Top Bottom