sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Muhimu: kufanya mila za tamaduni mfano kuchinja mbuzi na kutumia damu katika shughuli za kienzi tamaduni haya ni mambo ambayo yapo karibu kila kabila, huu sio ushirikina bali ni tamaduni. Hapa tunazungumzia ushirikina kama kupigana vipapai (kurogana), kuamka mwili umepigwa chale, kusumbuliwa usiku, n.k.
Katika kipindi cha likizo huwa inafaa sana mtu kwenda kwao kusalimia ndugu au hata kupeleka watoto ili wajijue na kuwa karibu na asili / chimbuko lake lakini hali imekuwa tofauti sana.
Changamoto kubwa ya kurudi huko inayofanya watu wengi hasa wa mjini kuogopa kurudi makwao ni hofu ua ushirikina / kurogwa.
Mtu anaweza akawa ana nauli kabisa ya kwenda hata kwa ndege kwao lakini hofu ni kubwa sana kiasi kwamba watoro wanaweza wasijue hata wazazi wao wametokea wapi.
Kwa tafiti nlizofanya nmeona kuna makabila ambayo yanahesabika kwa mkono moja ambayo hayanaga mambo ya ushirikina na kiukweli hawa watu hawanaga hofu kurudi makwao muda wowote wanaotaka, Hawa ndio wanafanya mila kama kila kabila lakini mambo ya ushirikina hayana nafasi huko makwao,
Katika kipindi cha likizo huwa inafaa sana mtu kwenda kwao kusalimia ndugu au hata kupeleka watoto ili wajijue na kuwa karibu na asili / chimbuko lake lakini hali imekuwa tofauti sana.
Changamoto kubwa ya kurudi huko inayofanya watu wengi hasa wa mjini kuogopa kurudi makwao ni hofu ua ushirikina / kurogwa.
Mtu anaweza akawa ana nauli kabisa ya kwenda hata kwa ndege kwao lakini hofu ni kubwa sana kiasi kwamba watoro wanaweza wasijue hata wazazi wao wametokea wapi.
Kwa tafiti nlizofanya nmeona kuna makabila ambayo yanahesabika kwa mkono moja ambayo hayanaga mambo ya ushirikina na kiukweli hawa watu hawanaga hofu kurudi makwao muda wowote wanaotaka, Hawa ndio wanafanya mila kama kila kabila lakini mambo ya ushirikina hayana nafasi huko makwao,