Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona sasa wanachezea kichapo? Soka la Kiafrika miyeyusho sana😀😀😀Hivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga , yaani gari imeingia kwa rivasi .
Bila shaka haya ni masharti ya Mganga .
labdaKwamba kila kitu cha tofauti ni ushirikina?
Sio kwamba ni "mkwara au mbwembwe"
Gari kuingia kwa rivas ni ushirikina?Hivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga , yaani gari imeingia kwa rivasi .
Bila shaka haya ni masharti ya Mganga .
Wamekula kichapo piaHivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga , yaani gari imeingia kwa rivasi .
Bila shaka haya ni masharti ya Mganga .
ni nini sasa ?Gari kuingia kwa rivas ni ushirikina?
Haya wajifunza kwa SimbaHivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga , yaani gari imeingia kwa rivasi .
Bila shaka haya ni masharti ya Mganga .
Wameaminishwa kuwa mpira bila uchawi hauendiIfikie hatua wanamichezo wenyewe wajiamini wao na mazoezi yao na si vingine.
Tawire ni masharti ya mgangaHivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga, yaani gari imeingia kwa rivasi.
Bila shaka haya ni masharti ya Mganga.