GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Matajiri wa Afrika wengi wametajirika kwa njia kuu tatu.
1. Ushirikina
2. Ushiriki Siasa
3. Ushiriki Dhulma
Na ndo maana utakuta kwa kiasi kikubwa hujaribu kuosha kikombe kwa nje ilhali ndani kunanuka uvundo.
1. Yusufu Manji - alikuwa anatumia mamilioni ya pesa kuwapeleka yanga nje na kusajili kwa gharama huku akiwalipa wafanya kazi wake pesa kidogo sana. HASA WATANZANIA.
2. Reginald Mengi alikuwa akionekana akito misaada sehemu mbalimbali huku wafanyakazi wake kwa baadhi ya Makampuni wana miezi hawajalipwa salaries.
3. Bakhresa - analipa mishahara kidogo ( ingawa tunashukuru kazini kwake anazingatia kigezo cha kutuajiri kwanza sisi) ila mishahara yake ni aibu huku akisajili na kuweka pesa nyingi azam team ambayo haina msaada mkubwa wa kiuchumi kwake.
4. Mo Dewji- angalia mishahara wanayolipwa wafanyakazi wake hasa watanzania weusi. Utasikitika.lakini anatumia mamilioni ya pesa kuwekeza simba.
Na wengine wengi wengi. Wazungu wanasema "Charity begins at home" unawezaje saidia wa nje ilhali wa ndani hali zao kiuchumi ni hali jojo?
Ndo unafiki na Ushirikina wa matajiri wengi wa nchi za afrika. Machoni kama watu.moyoni hawana utu.
Wanapenda kupita kwenye makutano makubwa ya watu na njia na kuonekana wakitenda mema na kusifiwa. Hawa ni matajiri wanafiki ambao wanaosha kikombe kwa nje wakati ndani kuna uvundo.
1. Ushirikina
2. Ushiriki Siasa
3. Ushiriki Dhulma
Na ndo maana utakuta kwa kiasi kikubwa hujaribu kuosha kikombe kwa nje ilhali ndani kunanuka uvundo.
1. Yusufu Manji - alikuwa anatumia mamilioni ya pesa kuwapeleka yanga nje na kusajili kwa gharama huku akiwalipa wafanya kazi wake pesa kidogo sana. HASA WATANZANIA.
2. Reginald Mengi alikuwa akionekana akito misaada sehemu mbalimbali huku wafanyakazi wake kwa baadhi ya Makampuni wana miezi hawajalipwa salaries.
3. Bakhresa - analipa mishahara kidogo ( ingawa tunashukuru kazini kwake anazingatia kigezo cha kutuajiri kwanza sisi) ila mishahara yake ni aibu huku akisajili na kuweka pesa nyingi azam team ambayo haina msaada mkubwa wa kiuchumi kwake.
4. Mo Dewji- angalia mishahara wanayolipwa wafanyakazi wake hasa watanzania weusi. Utasikitika.lakini anatumia mamilioni ya pesa kuwekeza simba.
Na wengine wengi wengi. Wazungu wanasema "Charity begins at home" unawezaje saidia wa nje ilhali wa ndani hali zao kiuchumi ni hali jojo?
Ndo unafiki na Ushirikina wa matajiri wengi wa nchi za afrika. Machoni kama watu.moyoni hawana utu.
Wanapenda kupita kwenye makutano makubwa ya watu na njia na kuonekana wakitenda mema na kusifiwa. Hawa ni matajiri wanafiki ambao wanaosha kikombe kwa nje wakati ndani kuna uvundo.