Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,936
- 1,972
Huwa hawashindani mpira siku zote waTz ni ndumbaaaa tuuuu ndumbaa tuuu ndio maana hata timu ya taifa inaboronga watakuja kuchanjwa chanjwa hadi washindwe kuvua mashati kisa makovu haya tupoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa. Mbele ya watani wao hakuna amani. Wanajiamini wakikutana na waarabu tuHahaaa. Kumbe hadi wale wanaojisifia kuwa na kikosi bora bado hawajiamini. Lol.
Pole yao.
Hahaaaaa. Na usikute hata walipokutana na Waarabu bado walikesha wakiwanga. Teh tehhahahaaa. Mbele ya watani wao hakuna amani. Wanajiamini wakikutana na waarabu tu
Kajuaji kishenzi kle kajamaa!Ayeeeee
Kijamaa kiusalama wa taifaaKajuaji kishenzi kle kajamaa!
Ah...wp!Kijamaa kiusalama wa taifaa
Utafichwa mda sio mrefu mzeeAh...wp!
Derby ya wachawi au!?Huwa hawashindani mpira siku zote waTz ni ndumbaaaa tuuuu ndumbaa tuuu ndio maana hata timu ya taifa inaboronga watakuja kuchanjwa chanjwa hadi washindwe kuvua mashati kisa makovu haya tupoo
HaaaaaahaaaaaUtafichwa mda sio mrefu mzee
Waaminio uchawai sijasema wachawi, nimesoma uzi wake nikaona wanaamini hizo timuDerby ya wachawi au!?
Si useme ni wa simba tu au unapoozea, wachawi wanajulikanaNimepita hapa Uwanja wa Taifa kuna kundi la watu linazozana kumbe ni Makomandoo wa Yanga na Simba wamekuja kulinda Uwanja ili kuzuia vitendo vya kishirikina,hizi timu kwa Tanzania imekuwa zaidi ya imani za dini kiasi kwamba kila upande unatumia nguvu nyingi ambazo wangewekeza kwenye mechi za kimataifa timu hizi zingekuwa zinafika hadi fainali.
Ukizaliwa Tz lazima uwe upande mmoja kama si Yanga basi utakuwa Simba mtu akikwambia hana timu kati ya hizi anakudanganya.Basi acha tuendelee kuziabudu tu na porojo za kina Hajji Manara na Dismas Ten.