Ushirikina Uwanja wa Taifa Usiku huu kuelekea Derby ya Kariakoo

Huwa hawashindani mpira siku zote waTz ni ndumbaaaa tuuuu ndumbaa tuuu ndio maana hata timu ya taifa inaboronga watakuja kuchanjwa chanjwa hadi washindwe kuvua mashati kisa makovu haya tupoo
 
Wabongo bhana, eti wana linda uwanja ulaya hii kitu hakuna kabisa!! Ndomana hatu endelei
 
Huwa hawashindani mpira siku zote waTz ni ndumbaaaa tuuuu ndumbaa tuuu ndio maana hata timu ya taifa inaboronga watakuja kuchanjwa chanjwa hadi washindwe kuvua mashati kisa makovu haya tupoo
Derby ya wachawi au!?
 
Si useme ni wa simba tu au unapoozea, wachawi wanajulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…