sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Punguza jazbaHivi kweli Mohammed Dewji anayewekaga mistari ya quran ndie aliridhia huu ujinga ufanyike?
Nao wachezaji wote hakunahata moja alieweza kutetea imani yake?
Hata kwa macho hauoni au umefumbaKwani walifanya nini?
Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.Kilichofanyika jana kimechukuliwa na nchi wengine kutuona watanzania ni watu wachawi, washirikina, hatumwamini Mwenyezi Mungu wala uwezo wetu bali tunaamini uchawi.
Hii inajenga maneno ya "watanzania ni wachawi" kwenye vinywa vya wageni.
Ni bora haya mambo yasihie humu humu ndani ya mipaka ila yasifanyike nje,
Wachezaji nao wote huwa wanapost picha wamevaa kanzu wengine wapo kanisani kumbe hakuna kitu ni maigizo tu,
View attachment 2200002
Hakuna cha mind game wala nini hapo, ni ushirikina tuWanadingizia mind game. Wachawi wakubwa
Kuna mambo mengine mtu unaweza kuyapenda lakini inabidi uyafiche kidogo unapokuwa nje ya nchi.Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.
Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?
Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?
Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?
Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
Hivi kweli Mohammed Dewji anayewekaga mistari ya quran ndie aliridhia huu ujinga ufanyike?
Nao wachezaji wote hakunahata moja alieweza kutetea imani yake?
Bar bara aliridhia sababu alikuwa na timu uko kwa MadinaHivi kweli Mohammed Dewji anayewekaga mistari ya quran ndie aliridhia huu ujinga ufanyike?
Nao wachezaji wote hakunahata moja alieweza kutetea imani yake?
Sema kwako wewe ndio hakuna cha ajabu maana kila siku unawanga na wenzakoHakuna cha Ajabu hapo kwa sisi Waafrika.
Hayo mambo hata katika Kombe la AFRICON yalikuepo
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Bar bara aliridhia sababu alikuwa na timu uko kwa Madina