GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mengi yameshasrmwa juu yake, kuwa ni uchawi wa Serikali wenye lengo la kuwafanya Watanzania watawalike!
Dini za Ukristo na Uislamu zinapinga uchawi. Hutarajii viongozi wake kujishikamanisha na shughuli za mbio za mwenge.
Kuna clip moja mtandaoni inayoonesha ufunguzibwa mbio za mwenge mkoani Kilimanjaro mwezi April mwaka huu. Katika sherehe hiyo, viongozi kadhaa wa dini waliongoza sala, wawakilishi toka BAKWATA, CCT na TEC.
MASWALI:
2. Hao viongozi hawajui kuwa mwenge ni ushirikinai au wameamua kujifanya hawajui?
2. Yanayosemwa juu ya mwenge kuwa ni ushirikina ni uongo?
Dini za Ukristo na Uislamu zinapinga uchawi. Hutarajii viongozi wake kujishikamanisha na shughuli za mbio za mwenge.
Kuna clip moja mtandaoni inayoonesha ufunguzibwa mbio za mwenge mkoani Kilimanjaro mwezi April mwaka huu. Katika sherehe hiyo, viongozi kadhaa wa dini waliongoza sala, wawakilishi toka BAKWATA, CCT na TEC.
MASWALI:
2. Hao viongozi hawajui kuwa mwenge ni ushirikinai au wameamua kujifanya hawajui?
2. Yanayosemwa juu ya mwenge kuwa ni ushirikina ni uongo?