Hii huwa inatumika ama Ina apply tu afrika ama dunia nzima. Sijaona matokeo ya wazungu na waarabu walichowafanyia waafrika mpaka Leo hii wanatuibia kkwa miktaba ya udanganyifu na utapeli. Naomba tujikite tu kwa kauli yako hiyo tafadhali.
Naona wazungu wanazidi kustawi na afrika inazidi kudumaa so hii kauli yako ya karma mbona haionekani
Of course... mi mwenyewe naona KARMA ina upendeleo kama wazungu kweli kuna watu waliofanya dhambi kubwa na kutuibia natural resources na bado wana songa mbele na hawana mabalaa kama sisi tuonao tendewa. Kuna kitu kina miss